Ad imageAd image

Ziara ya Waziri Mkuu wilaya ya Butiama mamia wajitokeza.

Togoro Media
0 Min Read

Leo ni ziara ya Mh. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wilaya ya Butiama ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake mkoa wa Mara ambapo anatarajiwa kusalimiana na wananchi wa Butiama katika viunga vya Mwanzo Mwisho Butiama mjini.

Baada ya kusalimiana na wananchi wa Butiama, Mh. Majaliwa ataelekea wilaya ya Serengeti.

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *