Ad image

Mtandao wa YouTube waifungia Emmanuel TV.

Mtandao wa YouTube umesitisha rasmi chaneli ya kanisa kuu la mwinjilisti wa televisheni kutoka Nigeria TB Joshua kwa kukiuka sera zake za matamshi ya chuki. Hatua hiyo inajiri wiki kadhaa baada ya kufichuliwa kwa ushahidi wa kuenea kwa unyanyasaji wa kingono na mateso yaliotekelezwa na mhubiri. Emmanuel TV ilichukua jukumu muhimu katika kuimarika kwake kutoka kuwa mchungaji wa ndani hadi

Togoro Media Togoro Media

Watahiniwa Wa Kujitegemea Kidato Cha Sita 2026 Waongezewa Muda Wa Usajili.

Muda wa usajili kwa watahiniwa wa kujitegemea kwa Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) 2026 umeongezwa kuanzia tarehe 06 Novemba, 2025 hadi tarehe 30 Novemba, 2025.  Ada ya usajili kwa kipindi hiki ni Tsh 65,000. Bonyeza Hapo chini kupakua Tangazo.

Togoro Media Togoro Media

Stendi ya Magari na Soko la kisasa kujengwa Wilayani Butiama.

Mh. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Kassim amesema kuwa lengo la Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na za kisasa Ameyasema hayo Leo wakati akizungumza na Wananchi Wilayani Butiama katika ziara yake mkoa wa Mara ambapo sambamba na hayo amesema kuwa vipaumbele vinavyohitaji utelelezaji wa haraka ni ujenzi wa stendi ya Magari na Soko

Togoro Media Togoro Media

Palm Jumeirah Ya Dubai Yashambuliwa

Shambulio moja limetokea eneo la Palm Jumeirah nchini Dubai. Kwa mujibu wa ofisi ya habari nchini humo, vikosi vya uokoaji vilitumwa mara moja katika eneo la tukio na moto uliotokana

Togoro Media Togoro Media

Mtandao wa YouTube waifungia Emmanuel TV.

Mtandao wa YouTube umesitisha rasmi chaneli ya kanisa kuu la mwinjilisti wa

Togoro Media Togoro Media

Fiston Mayele afuta picha zote akiwa na jezi ya Yanga SC.

Baada ya kuonekana kwenye kambi ya Simba SC nchini misri na kufanyiwa

Togoro Media Togoro Media

Waislamu Waanza Mfungo Wa Ramadhan Leo

Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir amethibitisha taarifa ya kuandama kwa Mwezi

Togoro Media Togoro Media

Mjue Pape Bouna Thiaw, Kocha Wa Timu Ya Taifa Ya Senegal.

Pape Bouna Thiaw, Kocha wa Timu ya Taifa ya SenegalJina Kamili: Pape

Togoro Media Togoro Media

Amuua mwanae ili achangiwe fedha na Vikundi.

Marwa Menganyi, mkazi wa Kijiji Keroti, Wilaya ya Tarime, mkoani Mara anadaiwa

Togoro Media Togoro Media

Dj. D Ommy aondoka Clouds Media Group.

Aliekuwa Dj maarufu kutoka Clouds Fm na Clouds TV, Dj. D Ommy

Togoro Media Togoro Media

SUA na Serikali ya Norway kushirikiana kukuza sekta ya Kilimo.

Ubalozi wa Norway Nchini, umesema utaendelea kushirikiana na Chuo Kikuu cha Kilimo

Togoro Media Togoro Media

TETESI: Fiston Mayele kutua Azam FC kuziba nafasi ya Dube.

Klabu ya Azam FC imempa ofa ya mshahara wa dola 15,000 (zaidi

Togoro Media Togoro Media

Fashionable Summer Accessories to Dress Up Your Travel Look

The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.

Togoro Media Togoro Media