Ad image

Gift Moureen ashinda Miss Kinondoni 2024.

Gift Moureen ameshinda taji la Miss Kinondoni 2024. Gift ameibuka mshindi kati ya warembo 13 walioingia Fainali zilizofanyika jana usiku Masaki jijini Dar Es Salaam.

Togoro Media Togoro Media

Waziri Mkuu Majaliwa amjulia hali Mama Halima Mdee.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemjulia hali Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalum Halima Mdee ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma Jana, Januari 30, 2024.

Togoro Media Togoro Media

Yanga SC yazidi kupaa kileleni NBC Premier League.

Klabu ya soka ya Yanga leo imecheza mchezo wake wa 26 dhidi ya Kagera Sugar ambapo katika mchezo huo Yanga imepata pointi tatu kwa kufunga goli moja kupitia kwa mchezaji wao, Mudathir Yahya aliyeingia kipindi cha pili. Mpaka sasa Yanga imebakia na michezo 4 ikiwa imevuna jumla ya pointi 68 juu ya watani wao Simba SC ambao wamebakia na michezo

Togoro Media Togoro Media

Mtandao wa Facebook watimiza miaka 20.

Mwaka 2004 mtandao maarufu wa kijamii wa Facebook ulizinduliwa. Tangu wakati huo, mtandao maarufu zaidi wa kijamii ulimwenguni umekarabatiwa mara kadhaa. Lakini lengo lake limebaki sawa: kuunganisha watu mtandaoni na

Togoro Media Togoro Media

TANZIA: Rais wa Namibia afariki Dunia.

Rais wa Namibia Hage Geingob amefariki dunia wakati akipokea matibabu hospitalini katika

Togoro Media Togoro Media

Mtandao wa Facebook watimiza miaka 20.

Mwaka 2004 mtandao maarufu wa kijamii wa Facebook ulizinduliwa. Tangu wakati huo,

Togoro Media Togoro Media

Taasisi zote za Umma kuingia kwenye mfumo wa Serikali Mtandao (e-GA).

Waziri wa nchi ofisi ya Rais menejiment ya utumishi wa umma na

Togoro Media Togoro Media

Vodacom Twende Butiama 2024 na mafanikio yake.

Msafara wa Vodacom Twende Butiama 2024 uliokamilika rasmi mnamo tarehe 13 Oktoba

Togoro Media Togoro Media

Waliofariki ajali ya Lujiga Express Singida wafika 9.

Idadi ya watu waliofariki dunia katika ajali ya basi la Lujiga Express

Togoro Media Togoro Media

PICHA: Viongozi wakiapa kiapo cha Maadili Ikulu.

Pichani ni ndugu Bibiana Joseph Kileo Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka, Ndugu Alice

Togoro Media Togoro Media

SUA na Serikali ya Norway kushirikiana kukuza sekta ya Kilimo.

Ubalozi wa Norway Nchini, umesema utaendelea kushirikiana na Chuo Kikuu cha Kilimo

Togoro Media Togoro Media

Fashionable Summer Accessories to Dress Up Your Travel Look

The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.

Togoro Media Togoro Media