Ad image

Habari katika magazeti ya leo January 20,2024.

Togoro Media inakusogezea vichwa vya habari katika magazeti ya leo January 20.

Togoro Media Togoro Media

Wafungwa zaidi ya 1000 wapata msamaha wa Rais.

Jumla ya wafungwa 1082, wamepata msamaha wa Rais leo ambapo 29 kati yao wameachiliwa huru leo Aprili 26, 2024. Wafungwa 20 waliohukumiwa adhabu ya kifo wamebadilishiwa adhabu hiyo na kuwa kifungo cha maisha, wafungwa 27 waliohukumiwa kifungo cha maisha wamebadilishiwa kuwa kifungo cha miaka 30 na wafungwa 1006 wamepunguziwa adhabu zao na watabaki gerezani na kuendelea kutumikia sehemu ya kifungo

Togoro Media Togoro Media

Miss Japan 2024 ajivua taji kisa Mme wa mtu.

Mshindi wa shindano la urembo la Miss Japan mzaliwa wa Ukraine amejivua taji lake baada ya ripoti ya gazeti la udaku kufichua uhusiano wake na mwanamume aliye katika ndoa. Karolina Shiino, 26, alitawazwa kuwa mshindi wa taji la Miss Japan wiki mbili zilizopita.

Togoro Media Togoro Media

Kariakoo Derby Ligi Kuu ya Wanawake kupigwa leo.

Mchezo wa Ligi Kuu ya wanawake baina ya Simba Queens na Yanga Princess utachezwa leo Saa 10:00 jioni ndani ya Dimba la Azam Complex. Katika mechi ya mzunguko wa kwanza

Togoro Media Togoro Media

Minada ya Kisasa 51 yajengwa ndani ya miaka 3 ya Rais Samia.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema kuwa katika kipindi

Togoro Media Togoro Media

Basi la Yanga SC laharibikia njiani likitokea Airport.

Leo Mamelod Sundowns wamewapa Yanga gari bovu ambalo limeharibika baada ya kilometa

Togoro Media Togoro Media

Mkuu wa Mkoa wa Mara akemea Ukatili na mauaji ya kiholela mkoani humo.

Katika kusherehekea siku ya wafanyakazi, Mei Mosi mkoni Mara, Mkuu wa Mkoa

Togoro Media Togoro Media

SUA na Serikali ya Norway kushirikiana kukuza sekta ya Kilimo.

Ubalozi wa Norway Nchini, umesema utaendelea kushirikiana na Chuo Kikuu cha Kilimo

Togoro Media Togoro Media

MISTARI: Sifai – Q Jay ft Joslin

Hello hello kizazi cha Bongo Fleva. Leo tumekuwekea mistari, pita nayo kisha

Togoro Media Togoro Media

Mjue Pape Bouna Thiaw, Kocha Wa Timu Ya Taifa Ya Senegal.

Pape Bouna Thiaw, Kocha wa Timu ya Taifa ya SenegalJina Kamili: Pape

Togoro Media Togoro Media

Paul Christian Makonda ateuliwa Mkuu wa mkoa wa Arusha.

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Paul Christian Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa

Togoro Media Togoro Media

Fashionable Summer Accessories to Dress Up Your Travel Look

The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.

Togoro Media Togoro Media