Ad image

Mtoto ajinyonga kisa ugomvi wa wazazi.

Mtoto Rafia Adamu mwenye umri wa miaka 8 anayesoma darasa la pili mkazi wa Kata ya Maisaka, wilayani Babati mkoani Manyara, amejinyonga majira ya saa Saba mchana baada ya kuona wazazi wake wana ugomvi hadi kupelekea mama yake kuondoka nyumbani siku nne zilizopita. Marehemu Rafia amejinyonga kwa kutumia mkanda wa mama yake kwenye mti wa mstafeli uliyopo mbele ya nyumba

Togoro Media Togoro Media

Darasa la Saba wafanya mtihani wa kuhitimu.

Wanafunzi wa Darasa la Saba leo wameanza mitihani yao ya kuhitimu elimu ya msingi kwa mwaka huu 2024. Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Karukekere B, iliyoko wilayani Bunda, mkoa wa Mara, Bwana Fredrick Vincent amepata wasaa wa kuzungumza na wanafunzi wa Darasa la Saba katika shule hiyo mapema leo asubuhi kabla ya kuanza kwa mitihani hiyo. Akiongea na wanafanzi

Togoro Media Togoro Media

Mkuu wa mkoa wa Mara ampa RAS mwezi mmoja kumaliza kero katika Taasisi zote.

Mkuu wa mkoa wa Mara amemuagiza RAS wa mkoa huo muda wa mwezi mmoja kushughulikia kero katika Taasisi zote mkoani humo. Hayo ameyasema leo katika hotuba yake kwenye sherehe za

Togoro Media Togoro Media

Mzee Mtei Afariki Dunia.

Kwa masikitiko makubwa tumepokea taarifa za kifo cha Mzee Edwin Isaac Mbilinyi

Togoro Media Togoro Media

Korea Kusini yatinga Nusu Fainali Asian Cup Kwa kuichapa Australia 2-1.

Mechi kati ya Korea Kusini na Australia imemalizika Kwa mabao 2-1 kwenye

Togoro Media Togoro Media

Baharia Mtanzania Auawa Kwa Shambulio La Bomu Hormuz

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limesikitika kutangaza kifo cha baharia

Togoro Media Togoro Media

SUA na Serikali ya Norway kushirikiana kukuza sekta ya Kilimo.

Ubalozi wa Norway Nchini, umesema utaendelea kushirikiana na Chuo Kikuu cha Kilimo

Togoro Media Togoro Media

MC Pilipili Afariki Dunia.

Taarifa zilizotufikia jioni ya leo ni kwamba Mchekeshaji na Mshereheshaji maarufu nchini,

Togoro Media Togoro Media

Wanaanga Wa Artemis II Warejea Duniani Salama

Wanaanga wa Artemis II wamerejea salama Duniani baada ya kutua kwa ustadi

Togoro Media Togoro Media

Waziri Mkuu wa Slovakia apigwa risasi.

Waziri Mkuu wa Slovakia Robert Fico, ameshambuliwa kwa risasi, akiwa mbele ya

Togoro Media Togoro Media

Daraja La Milioni 400 Kuleta Faraja Tarime

Ujenzi wa daraja la kisasa linalounganisha Kata za Matongo na Kibasuka wilayani

Togoro Media Togoro Media

Fashionable Summer Accessories to Dress Up Your Travel Look

The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.

Togoro Media Togoro Media