Mtoto Rafia Adamu mwenye umri wa miaka 8 anayesoma darasa la pili mkazi wa Kata ya Maisaka, wilayani Babati mkoani Manyara, amejinyonga majira ya saa Saba mchana baada ya kuona wazazi wake wana ugomvi hadi kupelekea mama yake kuondoka nyumbani siku nne zilizopita. Marehemu Rafia amejinyonga kwa kutumia mkanda wa mama yake kwenye mti wa mstafeli uliyopo mbele ya nyumba…
Wanafunzi wa Darasa la Saba leo wameanza mitihani yao ya kuhitimu elimu ya msingi kwa mwaka huu 2024. Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Karukekere B, iliyoko wilayani Bunda, mkoa wa Mara, Bwana Fredrick Vincent amepata wasaa wa kuzungumza na wanafunzi wa Darasa la Saba katika shule hiyo mapema leo asubuhi kabla ya kuanza kwa mitihani hiyo. Akiongea na wanafanzi…
Mkuu wa mkoa wa Mara amemuagiza RAS wa mkoa huo muda wa mwezi mmoja kushughulikia kero katika Taasisi zote mkoani humo. Hayo ameyasema leo katika hotuba yake kwenye sherehe za…
Kwa masikitiko makubwa tumepokea taarifa za kifo cha Mzee Edwin Isaac Mbilinyi…
Mechi kati ya Korea Kusini na Australia imemalizika Kwa mabao 2-1 kwenye…
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limesikitika kutangaza kifo cha baharia…
Ubalozi wa Norway Nchini, umesema utaendelea kushirikiana na Chuo Kikuu cha Kilimo…
Taarifa zilizotufikia jioni ya leo ni kwamba Mchekeshaji na Mshereheshaji maarufu nchini,…
Wanaanga wa Artemis II wamerejea salama Duniani baada ya kutua kwa ustadi…
Waziri Mkuu wa Slovakia Robert Fico, ameshambuliwa kwa risasi, akiwa mbele ya…
Ujenzi wa daraja la kisasa linalounganisha Kata za Matongo na Kibasuka wilayani…
The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.
Sign in to your account
