Ad imageAd image

Upatikanaji wa Kondomu kurahisishwa ili kupunguza maambukizi ya VVU.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeshauri serikali kuongeza nguvu ya mapambano dhidi ya virusi vya UKIMWI katika maeneo ya migodi, vituo vya magari makubwa, maeneo ya mialo ya samaki na maeneo ya starehe kwa kuangalia njia nzuri ya kutoa elimu kwa wananchi ili kujenga uelewa wa pamoja. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa kamati

Togoro Media Togoro Media

Yanga SC yaachana rasmi na Okrah Magic.

Yanga SC imetangaza rasmi kuachana na Kiungo Mshambuliaji raia wa Ghana Augustine Okrah (30) baada ya kudumu na Yanga kwa miezi sita tu. Augustine Okrah alijiunga na wana Jangwani hao January 2024 wakati wa Kombe la Mapinduzi ikiwa ni mara yake ya pili kucheza nchini baada ya mwaka 2022 kushindwa kufanya vizuri na Simba SC na kufungiwa virago.

Togoro Media Togoro Media

Hili Hapa Baraza Jipya La Mawaziri Tanzania.

Leo Novemba 17, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametangaza Baraza jipya la Mawaziri huku akiteua Mawaziri 27 na Naibu Mawaziri 29 kama inavyoonekana hapo chini

Togoro Media Togoro Media

Majizzo Amlilia Denis Ssebo

Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Mkurugenzi wa Emf pamoja na TVE majizzo ameandika ujumbe huu… "Kwa moyo mzito na machozi mengi, nasikitika kutangaza kifo cha rafiki, kaka, aliyekuwa msimamizi

Togoro Media Togoro Media

Mgodi wa Dhahabu Butiama wafungwa kisa Shule.

Mgodi uliovumbuliwa na Mkaazi wa Kitongoji cha Butasya Kata ya Butiama Wilaya

Togoro Media Togoro Media

Fiston Mayele afuta picha zote akiwa na jezi ya Yanga SC.

Baada ya kuonekana kwenye kambi ya Simba SC nchini misri na kufanyiwa

Togoro Media Togoro Media

Korea Kusini yatinga Nusu Fainali Asian Cup Kwa kuichapa Australia 2-1.

Mechi kati ya Korea Kusini na Australia imemalizika Kwa mabao 2-1 kwenye

Togoro Media Togoro Media

Hali si shwari Congo DR. Mji wa Goma hofu yaongezeka.

Hali halisi ilivyo katika mji wa Goma baada ya kuzuka kwa ghasia

Togoro Media Togoro Media

Makamu wa Rais akasirika, atangaza kuacha kazi.

Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe. Dkt.Philip Mpango ametangaza kuacha kazi endapo

Togoro Media Togoro Media

Mzee Mtei Afariki Dunia.

Kwa masikitiko makubwa tumepokea taarifa za kifo cha Mzee Edwin Isaac Mbilinyi

Togoro Media Togoro Media

Gari la shule ya Msingi Ghati Memorial lapata ajali, mmoja afariki.

Mwanafunzi mmoja amepoteza maisha na saba hawajulikani walipo baada ya gari la

Togoro Media Togoro Media

Vodacom Twende Butiama 2024 na mafanikio yake.

Msafara wa Vodacom Twende Butiama 2024 uliokamilika rasmi mnamo tarehe 13 Oktoba

Togoro Media Togoro Media

Fashionable Summer Accessories to Dress Up Your Travel Look

The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.

Togoro Media Togoro Media