Tume ya Maendeleo ya ushirika Tanzania imeingia makubaliano na mtandao wa simu wa Tigo kwa lengo la kuongeza ufanisi kwenye vyama vya ushirika Nchini kwa kuboresha mifumo ya mauzo ya mazao ya wakulima. Akizungumza na waandishi wa habari Mrajisi wa vyama vya ushirika na mtendaji mkuu wa tume ya Maendeleo ya ushirika BENSON NDIEGE amesema mfumo huo umeanzishwa kutokana na…
Mwanafunzi mmoja amepoteza maisha na saba hawajulikani walipo baada ya gari la shule ya Msingi Ghati Memorial, iliyopo Mkoani Arusha, kuanguka kwenye korongo linalopitisha maji. Ajali hiyo imetokea katika mitaa ya dampo Sinoni, Kata ya Muriet huku chanzo kikidaiwa kuwa ni dereva wa gari hilo kushindwa kulidhibiti, kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imemteua Ndugu Ally Salum Hapi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi Tanzania, akichukua nafasi ya Ndugu Gilbert Kalima ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu…
Leo ni ziara ya Mh. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wilaya ya Butiama…
Bahari mpya inaibuka barani Afrika, kulingana na utafiti mpya, ni mchakato ambao…
Watu wapatao 20 wanahofiwa kuwa ndani ya maji baada ya daraja la…
Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu leo Jumanne ya Novemba 11, 2025 ameapishwa rasmi…
Madaktari sita wa Hospitali ya Sekou Toure jijini Mwanza wamejeruhiwa baada ya…
Wanafunzi wa Darasa la Saba leo wameanza mitihani yao ya kuhitimu elimu…
Leo Machi 15, 2024 msanii wa Bongo flava nchini, Harmonize ametimiza umri…
The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.
Sign in to your account
