Watu watatu mkoani Geita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumteka mtoto mwenye umri wa miaka minne na kuitaka familia ya mtoto huyo kuwapatia Shilingi Milioni 4 ili waweze kumwachia huru mtoto huyo. Akitoa taarifa hiyo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo, Bi.Safia Jongo , amesema tukio limetokea huko wilayani Mbogwe, na kwamba watekaji hao walitoa siku nne…
Rais wa Kenya, William Ruto, anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania Mei 5, 2026, ujio wa Rais Ruto una lengo la kuimarisha ushirikiano wa kikanda, hususani katika nyanja za biashara, uwekezaji na maendeleo ya kiuchumi kati ya Tanzania na Kenya.Naibu Spika wa Bunge, Daniel Sillo, ameeleza haya wakati akisoma tangazo la Katibu wa Bunge na kwamba siku hiyo viongozi mbalimbali wa…
Mgodi uliovumbuliwa na Mkaazi wa Kitongoji cha Butasya Kata ya Butiama Wilaya ya Butiama ambapo watu kutoka sehemu mbalimbali waliweka kambi ili kujitafutia riziki zao Baada ya siku takribani tatu viongozi wa serikali walifika na kuzuia shughuli za uchimbaji kwa kile kilichodaiwa kuwa eneo hilo lipo karibu na Shule hivyo wataathiri shughuli za ufundishaji na ujifunzaji shuleni hapo na kuamuru…
Leo Machi 15, 2024 msanii wa Bongo flava nchini, Harmonize ametimiza umri wa miaka 30. Katika ukurasa wake wa Instagram Harmonize ameandika... "Turn to 30 years of my life!! I…
Kabir Abu Bilal sio profesa wa kawaida wa chuo kikuu cha Nigeria…
Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu leo Jumanne ya Novemba 11, 2025 ameapishwa rasmi…
Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu wapatao 3,000 katika Mgodi wa Kinyambwiga…
Mchezo wa Ligi Kuu ya wanawake baina ya Simba Queens na Yanga…
Klabu ya soka ya yanga leo imetolewa katika michuano ya Ligi ya…
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Mhe, Samia Suluhu Hassan leo Machi…
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limesikitika kutangaza kifo cha baharia…
The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.
Sign in to your account
