Togoro Media inakusogezea vichwa vya habari katika magazeti ya leo January 20.
Jumla ya wafungwa 1082, wamepata msamaha wa Rais leo ambapo 29 kati yao wameachiliwa huru leo Aprili 26, 2024. Wafungwa 20 waliohukumiwa adhabu ya kifo wamebadilishiwa adhabu hiyo na kuwa kifungo cha maisha, wafungwa 27 waliohukumiwa kifungo cha maisha wamebadilishiwa kuwa kifungo cha miaka 30 na wafungwa 1006 wamepunguziwa adhabu zao na watabaki gerezani na kuendelea kutumikia sehemu ya kifungo…
Mshindi wa shindano la urembo la Miss Japan mzaliwa wa Ukraine amejivua taji lake baada ya ripoti ya gazeti la udaku kufichua uhusiano wake na mwanamume aliye katika ndoa. Karolina Shiino, 26, alitawazwa kuwa mshindi wa taji la Miss Japan wiki mbili zilizopita.
Mchezo wa Ligi Kuu ya wanawake baina ya Simba Queens na Yanga Princess utachezwa leo Saa 10:00 jioni ndani ya Dimba la Azam Complex. Katika mechi ya mzunguko wa kwanza…
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema kuwa katika kipindi…
Leo Mamelod Sundowns wamewapa Yanga gari bovu ambalo limeharibika baada ya kilometa…
Katika kusherehekea siku ya wafanyakazi, Mei Mosi mkoni Mara, Mkuu wa Mkoa…
Ubalozi wa Norway Nchini, umesema utaendelea kushirikiana na Chuo Kikuu cha Kilimo…
Hello hello kizazi cha Bongo Fleva. Leo tumekuwekea mistari, pita nayo kisha…
Pape Bouna Thiaw, Kocha wa Timu ya Taifa ya SenegalJina Kamili: Pape…
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Paul Christian Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa…
The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.
Sign in to your account
