Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeshauri serikali kuongeza nguvu ya mapambano dhidi ya virusi vya UKIMWI katika maeneo ya migodi, vituo vya magari makubwa, maeneo ya mialo ya samaki na maeneo ya starehe kwa kuangalia njia nzuri ya kutoa elimu kwa wananchi ili kujenga uelewa wa pamoja. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa kamati…
Yanga SC imetangaza rasmi kuachana na Kiungo Mshambuliaji raia wa Ghana Augustine Okrah (30) baada ya kudumu na Yanga kwa miezi sita tu. Augustine Okrah alijiunga na wana Jangwani hao January 2024 wakati wa Kombe la Mapinduzi ikiwa ni mara yake ya pili kucheza nchini baada ya mwaka 2022 kushindwa kufanya vizuri na Simba SC na kufungiwa virago.
Leo Novemba 17, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametangaza Baraza jipya la Mawaziri huku akiteua Mawaziri 27 na Naibu Mawaziri 29 kama inavyoonekana hapo chini
Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Mkurugenzi wa Emf pamoja na TVE majizzo ameandika ujumbe huu… "Kwa moyo mzito na machozi mengi, nasikitika kutangaza kifo cha rafiki, kaka, aliyekuwa msimamizi…
Mgodi uliovumbuliwa na Mkaazi wa Kitongoji cha Butasya Kata ya Butiama Wilaya…
Baada ya kuonekana kwenye kambi ya Simba SC nchini misri na kufanyiwa…
Mechi kati ya Korea Kusini na Australia imemalizika Kwa mabao 2-1 kwenye…
Hali halisi ilivyo katika mji wa Goma baada ya kuzuka kwa ghasia…
Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe. Dkt.Philip Mpango ametangaza kuacha kazi endapo…
Kwa masikitiko makubwa tumepokea taarifa za kifo cha Mzee Edwin Isaac Mbilinyi…
Mwanafunzi mmoja amepoteza maisha na saba hawajulikani walipo baada ya gari la…
Msafara wa Vodacom Twende Butiama 2024 uliokamilika rasmi mnamo tarehe 13 Oktoba…
The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.
Sign in to your account

