Uhalifu wa kimabavu unazidi kuongezeka nchini Afrika Kusini, huku wizi wa pesa katika magari yanayosafirisha fedha ukiwa jambo la kawaida na kiwango cha mauaji kikiwa juu. Hali hii inaifanya nchi ya Afrika Kusini kuwa tishio kwa wafanyabiashara na wawekezaji nchini humo.
Ujenzi wa jengo refu zaidi duniani huko nchini Saudi Arabia utakamilika hivi karibuni. Baada ya kukamilika, jengo hili litavunja rekodi ya majengo mengine marefu zaidi duniani kwa tofauti kubwa. "Jeddah Tower" ni jengo lenye urefu wa ajabu wa mita elfu moja katika bandari ya Jeddah nchini Saudi Arabia ni takriban mita 200 juu kuliko majengo marefu zaidi ya kisasa duniani.
Aliekuwa Dj maarufu kutoka Clouds Fm na Clouds TV, Dj. D Ommy ameondoka Clouds Media Group rasmi leo. D Ommy ameondoka muda mfupi baada ya kutangazwa kujiunga na team mpya ya Jahazi ambapo wengine waliotangazwa Jahazini ni B Dozen na Adam Mchomvu. Mkuu wa maudhui wa Clouds Media, Bwana Sebastian Maganga amethibitisha taarifa hizo na kusema kuwa pande zote mbili…
Umati wa Wafanyakazi na Watumishi wa Taasisi mbalimbali Mkoani Mara wakibubujikwa na furaha kufuatia Mh. Esther Bulaya (Mb Bunda Mjini) kutaja changamoto ya Kikokotoo cha mafao ya wafanyakazi na kupendekeza…
Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu wanane kwa mahojiano kuhusiana…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye ni mlezi wa CCM Kanda ya Ziwa…
Tarehe 11/02/2000 ndipo lilipofunguliwa Jumba la Makumbusho ya aliyekuwa Rais wa kwanza…
MWANZA:Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia mvuvi mmoja, Ndaishimiye Gerald Joseph…
Watu watatu mkoani Geita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za…
Injini ya Toyota 1G‑BEAMS ni mojawapo ya injini maarufu za familia ya…
Bei ya mafuta duniani imepanda huku wasiwasi ukiongezeka kuhusu iwapo makubaliano ya…
The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.
Sign in to your account

