Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu wapatao 3,000 katika Mgodi wa Kinyambwiga uliopo Wilayani Bunda mkoani Mara, wameandamana na kuzingira Ofisi ya serikali ya Kijiji cha Kinyambwiga wakiwa na mabango wakiitaka serikali kuwarudishia maeneo waliyokuwa wakichimba. Hatua hii imekuja baada ya serikali kuwaondoa kwenye maeneo yao kutokana na kufanya shughuli za uchimbaji kwenye Leseni ya mtu mwingine bila kufuata utaratibu…
Mtoto Rafia Adamu mwenye umri wa miaka 8 anayesoma darasa la pili mkazi wa Kata ya Maisaka, wilayani Babati mkoani Manyara, amejinyonga majira ya saa Saba mchana baada ya kuona wazazi wake wana ugomvi hadi kupelekea mama yake kuondoka nyumbani siku nne zilizopita. Marehemu Rafia amejinyonga kwa kutumia mkanda wa mama yake kwenye mti wa mstafeli uliyopo mbele ya nyumba…
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemjulia hali Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalum Halima Mdee ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma Jana, Januari 30, 2024.
Uhalifu wa kimabavu unazidi kuongezeka nchini Afrika Kusini, huku wizi wa pesa katika magari yanayosafirisha fedha ukiwa jambo la kawaida na kiwango cha mauaji kikiwa juu. Hali hii inaifanya nchi…
Mchezaji na kiungo fundi kutoka TP Mazembe na Timu ya Taifa ya…
Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Malu Stonch amefariki dunia usiku…
Paul MacKenzie mwenye kanisa maarufu nchini Kenya ambapo mamia ya watu wanaodaiwa…
Afisa Kilimo katika kata ya Neruma wilaya ya Bunda mkoa wa Mara…
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Mhe, Samia Suluhu Hassan leo Machi…
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema atagombea nafasi ya Uenyekiti wa chama…
Baada ya kuonekana kwenye kambi ya Simba SC nchini misri na kufanyiwa…
Mwanamuziki nguli wa miaka mingi kwenye muziki wa dansi nchini, Kikumbi Mwanza…
The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.
Sign in to your account
