Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Daktari Samia Suluhu Hassan leo Novemba 13, 2025 amemteua Dk. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu.
Ndege binafsi ya P Diddy, imefuatiliwa hadi visiwa vya Antigua huku polisi wakivamia makazi yake ya Los Angeles na Miami, na wanawe Justin na King wakikamatwa. Ndege ya Gulfstream 5 ilifanya safari kadhaa ndani ya California kabla ya kuelekea huko Antigua ingawa haijulikani kama P Diddymwenyewe alikuwepo ndani ya ndege hiyo. Taarifa rasmi kutoka kwa wawakilishi wa P Diddy ama…
Muda wa usajili kwa watahiniwa wa kujitegemea kwa Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) 2026 umeongezwa kuanzia tarehe 06 Novemba, 2025 hadi tarehe 30 Novemba, 2025. Ada ya usajili kwa kipindi hiki ni Tsh 65,000. Bonyeza Hapo chini kupakua Tangazo.
Rais wa Kenya, William Ruto, anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania Mei 5, 2026, ujio wa Rais Ruto una lengo la kuimarisha ushirikiano wa kikanda, hususani katika nyanja za biashara, uwekezaji…
Mshindi wa shindano la urembo la Miss Japan mzaliwa wa Ukraine amejivua…
Leo April 12 ni siku ya kumbukizi ya miaka 40 ya kifo…
Uhalifu wa kimabavu unazidi kuongezeka nchini Afrika Kusini, huku wizi wa pesa…
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limemfuta kazi Kocha Mkuu Abdel Amruche…
Hii ni picha ya baadhi ya wanafamilia wa aliyewahi kuwa kiongozi mkubwa…
Taarifa zilizotufikia jioni ya leo ni kwamba Mchekeshaji na Mshereheshaji maarufu nchini,…
Hayati Edward Ngoyai Lowassa alizaliwa mkoani Arusha tarehe 26/08/1953. Alikuwa waziri mkuu…
The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.
Sign in to your account
