Ad image

Askari Mgambo auawa Kilimanjaro, Watu wanane wanashikiliwa na Polisi.

Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu wanane kwa mahojiano kuhusiana na tukio la mauaji ya Farijara Hamis Mboya, maarufu kwa jina la Kotex (40), Askari Mgambo aliyekuwa akisimamia utozaji wa ushuru kituo cha bajaji Mbuyuni, Februari 21, 2024. Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, Simon Maigwa imesema tukio hilo lilitokea mtaa

Togoro Media Togoro Media

Watuhumiwa Mauaji Ya James Rogers Temba Wakamatwa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewakamata watuhumiwa wanne kuhusiana na mauaji ya James Rogers Temba, mwanafunzi wa mwaka wa pili wa Chuo cha IFM. Mwili wa marehemu ulikutwa ukielea katika maji ya mto Msimbazi, eneo la Kipawa Ilala Aprili 30, 2026 ukiwa hauna kichwa. Watuhumiwa waliokamatwa ni Steven Rogers Chaka (31), Anna Frank Lema (30), Twalibu Khamis

Togoro Media Togoro Media

Mwenyekiti wa CCM Taifa agawa Pikipiki kwa Viongozi wa Chama Wilaya ya Butiama.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Mhe, Samia Suluhu Hassan leo Machi 31, amegawa pikipiki kwa Viongozi wa Chama ngazi ya Kata na jumuiya zote Wilayani Butiama. Akiongoza zoezi hilo, Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Butiama Mhe, Christopher Siagi amesema Pikipiki hizo zitaenda kurahisisha shughuli mbalimbali za chama kwa urahisi na ufanisi mkubwa.

Togoro Media Togoro Media

Fashionable Summer Accessories to Dress Up Your Travel Look

Good web design has visual weight, is optimized for various devices, and has content that is prioritized for the medium. The most important elements of a web page should have

Togoro Media Togoro Media

Bashungwa ataka Miundombinu ya Barabara kurekebishwa haraka.

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Eng.

Togoro Media Togoro Media

Wachimbaji wadogo Kinyambwiga wailalamikia Serikali ya Kijiji.

Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu wapatao 3,000 katika Mgodi wa Kinyambwiga

Togoro Media Togoro Media

MISTARI: Sifai – Q Jay ft Joslin

Hello hello kizazi cha Bongo Fleva. Leo tumekuwekea mistari, pita nayo kisha

Togoro Media Togoro Media

Guinea Waishika Pabaya CAF, Waudai Ubingwa Wa 1976

Shirikisho la soka nchini Guinea limewaomba CAF kufanya marejeo ya mchezo wa

Togoro Media Togoro Media

Mjue Pape Bouna Thiaw, Kocha Wa Timu Ya Taifa Ya Senegal.

Pape Bouna Thiaw, Kocha wa Timu ya Taifa ya SenegalJina Kamili: Pape

Togoro Media Togoro Media

Butiama Mei Mosi kumenoga.

Umati wa Wafanyakazi na Watumishi wa Taasisi mbalimbali Mkoani Mara wakibubujikwa na

Togoro Media Togoro Media

Mwanamuziki Liam Payne afariki Hotelini.

Mwimbaji maarufu kutoka Uingereza Liam Payne amefariki dunia siku ya Jumatano Oktoba

Togoro Media Togoro Media

FBI yamtaja aliyempiga risasi Donald Trump.

Shirika la Upelelezi (FBI) limemtaja Thomas Matthew Crooks (20), kama Mshambuliaji katika

Togoro Media Togoro Media

Fashionable Summer Accessories to Dress Up Your Travel Look

The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.

Togoro Media Togoro Media