Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu wanane kwa mahojiano kuhusiana na tukio la mauaji ya Farijara Hamis Mboya, maarufu kwa jina la Kotex (40), Askari Mgambo aliyekuwa akisimamia utozaji wa ushuru kituo cha bajaji Mbuyuni, Februari 21, 2024. Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, Simon Maigwa imesema tukio hilo lilitokea mtaa…
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewakamata watuhumiwa wanne kuhusiana na mauaji ya James Rogers Temba, mwanafunzi wa mwaka wa pili wa Chuo cha IFM. Mwili wa marehemu ulikutwa ukielea katika maji ya mto Msimbazi, eneo la Kipawa Ilala Aprili 30, 2026 ukiwa hauna kichwa. Watuhumiwa waliokamatwa ni Steven Rogers Chaka (31), Anna Frank Lema (30), Twalibu Khamis…
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Mhe, Samia Suluhu Hassan leo Machi 31, amegawa pikipiki kwa Viongozi wa Chama ngazi ya Kata na jumuiya zote Wilayani Butiama. Akiongoza zoezi hilo, Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Butiama Mhe, Christopher Siagi amesema Pikipiki hizo zitaenda kurahisisha shughuli mbalimbali za chama kwa urahisi na ufanisi mkubwa.
Good web design has visual weight, is optimized for various devices, and has content that is prioritized for the medium. The most important elements of a web page should have…
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Eng.…
Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu wapatao 3,000 katika Mgodi wa Kinyambwiga…
Hello hello kizazi cha Bongo Fleva. Leo tumekuwekea mistari, pita nayo kisha…
Shirikisho la soka nchini Guinea limewaomba CAF kufanya marejeo ya mchezo wa…
Pape Bouna Thiaw, Kocha wa Timu ya Taifa ya SenegalJina Kamili: Pape…
Umati wa Wafanyakazi na Watumishi wa Taasisi mbalimbali Mkoani Mara wakibubujikwa na…
Mwimbaji maarufu kutoka Uingereza Liam Payne amefariki dunia siku ya Jumatano Oktoba…
Shirika la Upelelezi (FBI) limemtaja Thomas Matthew Crooks (20), kama Mshambuliaji katika…
The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.
Sign in to your account
