Ad image

Wachimbaji wadogo Kinyambwiga wailalamikia Serikali ya Kijiji.

Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu wapatao 3,000 katika Mgodi wa Kinyambwiga uliopo Wilayani Bunda mkoani Mara, wameandamana na kuzingira Ofisi ya serikali ya Kijiji cha Kinyambwiga wakiwa na mabango wakiitaka serikali kuwarudishia maeneo waliyokuwa wakichimba. Hatua hii imekuja baada ya serikali kuwaondoa kwenye maeneo yao kutokana na kufanya shughuli za uchimbaji kwenye Leseni ya mtu mwingine bila kufuata utaratibu

Togoro Media Togoro Media

Mtoto ajinyonga kisa ugomvi wa wazazi.

Mtoto Rafia Adamu mwenye umri wa miaka 8 anayesoma darasa la pili mkazi wa Kata ya Maisaka, wilayani Babati mkoani Manyara, amejinyonga majira ya saa Saba mchana baada ya kuona wazazi wake wana ugomvi hadi kupelekea mama yake kuondoka nyumbani siku nne zilizopita. Marehemu Rafia amejinyonga kwa kutumia mkanda wa mama yake kwenye mti wa mstafeli uliyopo mbele ya nyumba

Togoro Media Togoro Media

Waziri Mkuu Majaliwa amjulia hali Mama Halima Mdee.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemjulia hali Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalum Halima Mdee ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma Jana, Januari 30, 2024.

Togoro Media Togoro Media

Uvamizi wa Magari ya kusafirisha Fedha wakithiri Afrika Kusini

Uhalifu wa kimabavu unazidi kuongezeka nchini Afrika Kusini, huku wizi wa pesa katika magari yanayosafirisha fedha ukiwa jambo la kawaida na kiwango cha mauaji kikiwa juu. Hali hii inaifanya nchi

Togoro Media Togoro Media

Mchezaji wa TP Mazembe na Timu ya Taifa ya Zambia afariki kwa ajali.

Mchezaji na kiungo fundi kutoka TP Mazembe na Timu ya Taifa ya

Togoro Media Togoro Media

Mwanamuziki Malu Stonch afariki akiwa anaimba jukwaani.

Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Malu Stonch amefariki dunia usiku

Togoro Media Togoro Media

Paul MacKenzie ashtakiwa kwa makosa 191.

Paul MacKenzie mwenye kanisa maarufu nchini Kenya ambapo mamia ya watu wanaodaiwa

Togoro Media Togoro Media

BUNDA: Mke amuua mme wake kwa kumng’ata ulimi.

Afisa Kilimo katika kata ya Neruma wilaya ya Bunda mkoa wa Mara

Togoro Media Togoro Media

Mwenyekiti wa CCM Taifa agawa Pikipiki kwa Viongozi wa Chama Wilaya ya Butiama.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Mhe, Samia Suluhu Hassan leo Machi

Togoro Media Togoro Media

Mbowe kugombea tena Uenyekiti CHADEMA.

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema atagombea nafasi ya Uenyekiti wa chama

Togoro Media Togoro Media

Fiston Mayele afuta picha zote akiwa na jezi ya Yanga SC.

Baada ya kuonekana kwenye kambi ya Simba SC nchini misri na kufanyiwa

Togoro Media Togoro Media

TANZIA: King Kikii Afariki Dunia

Mwanamuziki nguli wa miaka mingi kwenye muziki wa dansi nchini, Kikumbi Mwanza

Togoro Media Togoro Media

Fashionable Summer Accessories to Dress Up Your Travel Look

The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.

Togoro Media Togoro Media