Gift Moureen ameshinda taji la Miss Kinondoni 2024. Gift ameibuka mshindi kati ya warembo 13 walioingia Fainali zilizofanyika jana usiku Masaki jijini Dar Es Salaam.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemjulia hali Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalum Halima Mdee ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma Jana, Januari 30, 2024.
Klabu ya soka ya Yanga leo imecheza mchezo wake wa 26 dhidi ya Kagera Sugar ambapo katika mchezo huo Yanga imepata pointi tatu kwa kufunga goli moja kupitia kwa mchezaji wao, Mudathir Yahya aliyeingia kipindi cha pili. Mpaka sasa Yanga imebakia na michezo 4 ikiwa imevuna jumla ya pointi 68 juu ya watani wao Simba SC ambao wamebakia na michezo…
Mwaka 2004 mtandao maarufu wa kijamii wa Facebook ulizinduliwa. Tangu wakati huo, mtandao maarufu zaidi wa kijamii ulimwenguni umekarabatiwa mara kadhaa. Lakini lengo lake limebaki sawa: kuunganisha watu mtandaoni na…
Rais wa Namibia Hage Geingob amefariki dunia wakati akipokea matibabu hospitalini katika…
Mwaka 2004 mtandao maarufu wa kijamii wa Facebook ulizinduliwa. Tangu wakati huo,…
Waziri wa nchi ofisi ya Rais menejiment ya utumishi wa umma na…
Msafara wa Vodacom Twende Butiama 2024 uliokamilika rasmi mnamo tarehe 13 Oktoba…
Idadi ya watu waliofariki dunia katika ajali ya basi la Lujiga Express…
Pichani ni ndugu Bibiana Joseph Kileo Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka, Ndugu Alice…
Ubalozi wa Norway Nchini, umesema utaendelea kushirikiana na Chuo Kikuu cha Kilimo…
The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.
Sign in to your account
