Marwa Menganyi, mkazi wa Kijiji Keroti, Wilaya ya Tarime, mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake Celina Marwa mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi mdomoni na puani hadi kufa, kisha kudumbukiza kwenye jaba la maji. Inasemekana kuwa ametenda tukio hilo kwa kile kinachoelezwa kuwa alitaka achangiwe fedha na kikundi, ili alipe madeni aliyokuwa akidaiwa na vikundi vinne zaidi ya…
Kikosi cha Dar Es Salaam Young African Sports Club kimewasili mchana huu Jijini Cairo kikiwafuqta Al Ahly katika mchezo utakaopigwa Ijumaa hii.
Ushindi wa ubingwa wa AFCON 2025 umeandika historia mpya baada ya Senegal kuibuka mabingwa dhidi ya Morocco katika fainali iliyovutia mamilioni ya mashabiki barani Afrika na duniani kote. Mchezo huo ulijaa ushindani mkubwa, kasi, na mbinu za hali ya juu zilizoonyesha kiwango cha juu cha soka la Afrika. Senegal ilionyesha nidhamu, umoja, na uzoefu mkubwa, ikitawala vipindi muhimu vya mchezo…
Michezo ya hatua ya robo fainali ya kombe la Klabu Bingwa barani Afrika inatarajiwa kuchezwa kati ya tarehe 30 na 31 Mwezi huu huku wawakilishi watatu wa Ukanda wa Afrika…
Togoro Media inakusogezea vichwa vya habari katika magazeti ya leo January 20.
Papa Leo alitembelea msikiti wa The Blue Mosque huko Istanbul siku ya…
Moshi, Kilimanjaro Tukio la kusikitisha limetokea mkoani Kilimanjaro ambapo kijana mmoja amefariki…
Rais wa Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Ally Senga Gugu kuwa…
Taarifa kutoka Jijini Mwanza zinasema kuwa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU)…
Afisa Kilimo katika kata ya Neruma wilaya ya Bunda mkoa wa Mara…
Rais wa Kenya, William Ruto, anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania Mei 5,…
The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.
Sign in to your account
