Ad image

Mtandao wa Tigo kudhibiti ubadhilifu fedha za Wakulima Nchini.

Tume ya Maendeleo ya ushirika Tanzania imeingia makubaliano na mtandao wa simu wa Tigo kwa lengo la kuongeza ufanisi kwenye vyama vya ushirika Nchini kwa kuboresha mifumo ya mauzo ya mazao ya wakulima. Akizungumza na waandishi wa habari Mrajisi wa vyama vya ushirika na mtendaji mkuu wa tume ya Maendeleo ya ushirika BENSON NDIEGE amesema mfumo huo umeanzishwa kutokana na

Togoro Media Togoro Media

Gari la shule ya Msingi Ghati Memorial lapata ajali, mmoja afariki.

Mwanafunzi mmoja amepoteza maisha na saba hawajulikani walipo baada ya gari la shule ya Msingi Ghati Memorial, iliyopo Mkoani Arusha, kuanguka kwenye korongo linalopitisha maji. Ajali hiyo imetokea katika mitaa ya dampo Sinoni, Kata ya Muriet huku chanzo kikidaiwa kuwa ni dereva wa gari hilo kushindwa kulidhibiti, kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.

Togoro Media Togoro Media

Ally Hapi achaguliwa kuwa Katibu Mkuu Umoja wa wazazi Tanzania.

Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imemteua Ndugu Ally Salum Hapi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi Tanzania, akichukua nafasi ya Ndugu Gilbert Kalima ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu

Togoro Media Togoro Media

Ziara ya Waziri Mkuu wilaya ya Butiama mamia wajitokeza.

Leo ni ziara ya Mh. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wilaya ya Butiama

Togoro Media Togoro Media

Bahari Mpya kuzaliwa Barani Afrika.

Bahari mpya inaibuka barani Afrika, kulingana na utafiti mpya, ni mchakato ambao

Togoro Media Togoro Media

Daraja lakatika, Watu zaidi ya 20 wahofiwa kuzama mtoni.

Watu wapatao 20 wanahofiwa kuwa ndani ya maji baada ya daraja la

Togoro Media Togoro Media

Mussa Azzan Zungu Aapishwa Kuwa Spika Wa Bunge.

Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu leo Jumanne ya Novemba 11, 2025 ameapishwa rasmi

Togoro Media Togoro Media

Madaktari Wa Hospitali Ya Sekou Toure Wapata Ajali

Madaktari sita wa Hospitali ya Sekou Toure jijini Mwanza wamejeruhiwa baada ya

Togoro Media Togoro Media

Darasa la Saba wafanya mtihani wa kuhitimu.

Wanafunzi wa Darasa la Saba leo wameanza mitihani yao ya kuhitimu elimu

Togoro Media Togoro Media

Harmonize atimiza umri wa miaka 30, aahidi kubadilika.

Leo Machi 15, 2024 msanii wa Bongo flava nchini, Harmonize ametimiza umri

Togoro Media Togoro Media

Fashionable Summer Accessories to Dress Up Your Travel Look

The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.

Togoro Media Togoro Media