Ad imageAd image

Uvamizi wa Magari ya kusafirisha Fedha wakithiri Afrika Kusini

Uhalifu wa kimabavu unazidi kuongezeka nchini Afrika Kusini, huku wizi wa pesa katika magari yanayosafirisha fedha ukiwa jambo la kawaida na kiwango cha mauaji kikiwa juu. Hali hii inaifanya nchi ya Afrika Kusini kuwa tishio kwa wafanyabiashara na wawekezaji nchini humo.

Togoro Media Togoro Media

Jengo refu zaidi Duniani kujengwa Saudi Arabia.

Ujenzi wa jengo refu zaidi duniani huko nchini Saudi Arabia utakamilika hivi karibuni. Baada ya kukamilika, jengo hili litavunja rekodi ya majengo mengine marefu zaidi duniani kwa tofauti kubwa. "Jeddah Tower" ni jengo lenye urefu wa ajabu wa mita elfu moja katika bandari ya Jeddah nchini Saudi Arabia ni takriban mita 200 juu kuliko majengo marefu zaidi ya kisasa duniani.

Togoro Media Togoro Media

Dj. D Ommy aondoka Clouds Media Group.

Aliekuwa Dj maarufu kutoka Clouds Fm na Clouds TV, Dj. D Ommy ameondoka Clouds Media Group rasmi leo. D Ommy ameondoka muda mfupi baada ya kutangazwa kujiunga na team mpya ya Jahazi ambapo wengine waliotangazwa Jahazini ni B Dozen na Adam Mchomvu. Mkuu wa maudhui wa Clouds Media, Bwana Sebastian Maganga amethibitisha taarifa hizo na kusema kuwa pande zote mbili

Togoro Media Togoro Media

Butiama Mei Mosi kumenoga.

Umati wa Wafanyakazi na Watumishi wa Taasisi mbalimbali Mkoani Mara wakibubujikwa na furaha kufuatia Mh. Esther Bulaya (Mb Bunda Mjini) kutaja changamoto ya Kikokotoo cha mafao ya wafanyakazi na kupendekeza

Togoro Media Togoro Media

Askari Mgambo auawa Kilimanjaro, Watu wanane wanashikiliwa na Polisi.

Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu wanane kwa mahojiano kuhusiana

Togoro Media Togoro Media

Waziri Mkuu Mgeni rasmi miaka 47 ya CCM Kagera.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye ni mlezi wa CCM Kanda ya Ziwa

Togoro Media Togoro Media

Fahamu Jumba la Makumbusho ya Hayati Nelson Mandela.

Tarehe 11/02/2000 ndipo lilipofunguliwa Jumba la Makumbusho ya aliyekuwa Rais wa kwanza

Togoro Media Togoro Media

Amuua Mvuvi Mwenzake Kisa Wivu Wa Mapenzi

MWANZA:Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia mvuvi mmoja, Ndaishimiye Gerald Joseph

Togoro Media Togoro Media

Watu watatu wakamatwa Geita kwa kumteka mtoto.

Watu watatu mkoani Geita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za

Togoro Media Togoro Media

Zijue Injini Za 1G Beams 2000

Injini ya Toyota 1G‑BEAMS ni mojawapo ya injini maarufu za familia ya

Togoro Media Togoro Media

Bei Ya Mafuta Duniani Yazidi Kupanda

Bei ya mafuta duniani imepanda huku wasiwasi ukiongezeka kuhusu iwapo makubaliano ya

Togoro Media Togoro Media

Fashionable Summer Accessories to Dress Up Your Travel Look

The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.

Togoro Media Togoro Media