Ad image

Watu watatu wakamatwa Geita kwa kumteka mtoto.

Watu watatu mkoani Geita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumteka mtoto mwenye umri wa miaka minne na kuitaka familia ya mtoto huyo kuwapatia Shilingi Milioni 4 ili waweze kumwachia huru mtoto huyo. Akitoa taarifa hiyo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo, Bi.Safia Jongo , amesema tukio limetokea huko wilayani Mbogwe, na kwamba watekaji hao walitoa siku nne

Togoro Media Togoro Media

Rais Ruto Kulihutubia Bunge La Tanzania

Rais wa Kenya, William Ruto, anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania Mei 5, 2026, ujio wa Rais Ruto una lengo la kuimarisha ushirikiano wa kikanda, hususani katika nyanja za biashara, uwekezaji na maendeleo ya kiuchumi kati ya Tanzania na Kenya.Naibu Spika wa Bunge, Daniel Sillo, ameeleza haya wakati akisoma tangazo la Katibu wa Bunge na kwamba siku hiyo viongozi mbalimbali wa

Togoro Media Togoro Media

Mgodi wa Dhahabu Butiama wafungwa kisa Shule.

Mgodi uliovumbuliwa na Mkaazi wa Kitongoji cha Butasya Kata ya Butiama Wilaya ya Butiama ambapo watu kutoka sehemu mbalimbali waliweka kambi ili kujitafutia riziki zao Baada ya siku takribani tatu viongozi wa serikali walifika na kuzuia shughuli za uchimbaji kwa kile kilichodaiwa kuwa eneo hilo lipo karibu na Shule hivyo wataathiri shughuli za ufundishaji na ujifunzaji shuleni hapo na kuamuru

Togoro Media Togoro Media

Harmonize atimiza umri wa miaka 30, aahidi kubadilika.

Leo Machi 15, 2024 msanii wa Bongo flava nchini, Harmonize ametimiza umri wa miaka 30. Katika ukurasa wake wa Instagram Harmonize ameandika... "Turn to 30 years of my life!! I

Togoro Media Togoro Media

Profesa aamua kujishughulisha na uchomeleaji vyuma.

Kabir Abu Bilal sio profesa wa kawaida wa chuo kikuu cha Nigeria

Togoro Media Togoro Media

Mussa Azzan Zungu Aapishwa Kuwa Spika Wa Bunge.

Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu leo Jumanne ya Novemba 11, 2025 ameapishwa rasmi

Togoro Media Togoro Media

Wachimbaji wadogo Kinyambwiga wailalamikia Serikali ya Kijiji.

Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu wapatao 3,000 katika Mgodi wa Kinyambwiga

Togoro Media Togoro Media

Kariakoo Derby Ligi Kuu ya Wanawake kupigwa leo.

Mchezo wa Ligi Kuu ya wanawake baina ya Simba Queens na Yanga

Togoro Media Togoro Media

Yanga yatolewa na Mamelodi Sundowns robo fainali.

Klabu ya soka ya yanga leo imetolewa katika michuano ya Ligi ya

Togoro Media Togoro Media

Mwenyekiti wa CCM Taifa agawa Pikipiki kwa Viongozi wa Chama Wilaya ya Butiama.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Mhe, Samia Suluhu Hassan leo Machi

Togoro Media Togoro Media

Baharia Mtanzania Auawa Kwa Shambulio La Bomu Hormuz

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limesikitika kutangaza kifo cha baharia

Togoro Media Togoro Media

Fashionable Summer Accessories to Dress Up Your Travel Look

The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.

Togoro Media Togoro Media