Injini ya Toyota 1G‑BEAMS ni mojawapo ya injini maarufu za familia ya 1G kutoka Toyota, hasa kwenye magari ya miaka ya 1990–2000. Hapa kuna maelezo muhimu kuhusu hiyo injini 👇 🔧 SIFA KUU ZA 1G-BEAMS (2000)Aina: Inline-6 (silinda 6 zilizopangwa mstari)Ujazo (Engine capacity): 2.0L (1998 cc)Valves: 24 valves (DOHC – camshaft mbili juu)Teknolojia: BEAMS (Breakthrough Engine with Advanced Mechanism System)Fuel…
Vijana Jennifer Jovin (26) maarufu ‘Niffer’ na Mika Chavala waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya uhaini wameachiliwa huru mchana huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam. Hatua hiyo imefikiwa leo wakati shauri hilo lilipopelekwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Aaron Lyamuya kwa ajili ya kutajwa ambapo Wakili wa Serikali, Titus Aron alidai shauri hilo lilipelekwa kwa ajili…
Nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo,matokeo ya uchaguzi mkuu wa Desemba 20, 2023 yamekataliwa na viongozi wa upinzani. Watatu kati yao waliitisha maandamano leo, Moïse Katumbi, mgombea wa nafasi ya juu, Martin Fayulu aliyeshika nafasi ya tatu na Anzuluni Bembe anaendelea kusisitiza kuwa uchaguzi huo unafaa kubatilishwa na kurudiwa ili kurekebisha udanganyifu mkubwa. Leo Rais Felix anaapishwa ikiwa ni mara…
Mlipuko mkubwa wa gesi katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, umesababisha vifo vya watu watatu na kuwajeruhi wengine 300. Lori lililokuwa limebeba mitungi ya gesi lililipuka katika wilaya ya Embakasi…
Kikosi cha Dar Es Salaam Young African Sports Club kimewasili mchana huu…
Katika kusherehekea siku ya wafanyakazi, Mei Mosi mkoni Mara, Mkuu wa Mkoa…
Msafara wa Vodacom Twende Butiama 2024 uliokamilika rasmi mnamo tarehe 13 Oktoba…
Herieth Lupembe ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi Mbugani na Mkazi…
A big history made by a Portuguese player, Christiano Ronaldo today and…
Leo ni siku ya wafanyakazi Duniani na kwa mkoa wa Mara sherehe…
Waziri wa nchi ofisi ya Rais menejiment ya utumishi wa umma na…
Papa Leo alitembelea msikiti wa The Blue Mosque huko Istanbul siku ya…
The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.
Sign in to your account

