Ad image

Waislamu Waanza Mfungo Wa Ramadhan Leo

Togoro Media
1 Min Read

Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir amethibitisha taarifa ya kuandama kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

Amewaambia waandishi wa habari mkoani Dar es Salaam kuwa, kufuatia kuandama kwa Mwezi Mtukufu, Waumini wa dini ya Kiislam katika maeneo mbalimbali nchini wataanza Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan hapo kesho Febuari 19 2026

Mufti wa Tanzania amesema Mwezi umeonekana katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar na Kenya.

Chanzo: Global Publishers

- Advertisement -
Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *