Ad image

Daraja La Milioni 400 Kuleta Faraja Tarime

Ujenzi wa daraja la kisasa linalounganisha Kata za Matongo na Kibasuka wilayani Tarime unatarajiwa kumaliza tatizo la muda mrefu la ajali na vifo vilivyokuwa vikitokea wakati wananchi na wafugaji wakivuka

Togoro Media Togoro Media

Mamia Wajitokeza Kumzika Njiwa Manga

Msanii wa nyimbo za asili kutoka Butiama Mara, Njiwa Manga, leo amezikwa katika makaburi ya familia huko Butiama Mkoani Mara katika kijiji cha Buturu. Mazishi hayo yamehudhuriwa na mamia ya

Togoro Media Togoro Media

Serengeti Boys Yafuzu Fainali AFCON U-17

Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 (SERENGETI BOYS) imefuzu fainali ya AFCON U-17 na kuiondoa Misri kwenye mashindano hayo. Katika mtanange huo Serengeti Boys ilimaliza

Togoro Media Togoro Media

Mamelodi Sundowns Watawala Afrika: Mabingwa Wa CAF Champions League 2026

Katika usiku uliokuwa umejaa presha, historia na matumaini, Mamelodi Sundowns wameandika ukurasa mpya wa mafanikio kwa kutwaa ubingwa wa CAF Champions League 2026, wakithibitisha ubora wao kama moja ya vilabu

Togoro Media Togoro Media

Dakika Za Maamuzi!

Mamelodi Sundowns 1–1 AS FAR — dakika 90 zimekamilika, sasa tunaingia dakika 8 za nyongeza! Kila mpira sasa ni vita, kila nafasi ni historia! Mashabiki mioyo juu, hii ndiyo ile

Togoro Media Togoro Media

Jela Miaka 30 Kwa Kumbaka Mpwa Wake.

Mwanaume mwenye umri wa miaka 40 amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Eldoret nchini Kenya baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka na kumwambukiza mpwa wake wa

Togoro Media Togoro Media

Kambarage Wasira Aupata Ubunge, Amshukuru Rais Samia

Mhandisi Kambarage Masato Wasira amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki. Amesema anamshukuru kwa Imani kubwa aliyoionesha kwake kupitia

Togoro Media Togoro Media

Watuhumiwa Mauaji Ya James Rogers Temba Wakamatwa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewakamata watuhumiwa wanne kuhusiana na mauaji ya James Rogers Temba, mwanafunzi wa mwaka wa pili wa Chuo cha IFM. Mwili wa marehemu

Togoro Media Togoro Media

Bei Ya Petroli Yazidi Kupanda Dar Es Salaam

Bei ya mafuta ya petroli imepanda kwa Jiji la Dar es Salaam toka shilingi 3,820 kwa lita mwezi Aprili hadi kufikia shilingi 4115 kwa lita mwezi Mei 2026, kulingana na

Togoro Media Togoro Media