Ad image

Marufuku Wanafunzi Kufika Shuleni Chini Ya Saa 1:15 Asubuhi

Wizara ya Elimu imewakumbusha waendesha shule nchini kuzingatia sheria inayowataka wanafunzi kufika shule saa 2:00 asubuhi (8:00 AM), huku ikisisitiza kuwa hakuna shule inayoruhusiwa kuwalazimisha wanafunzi kufika mapema zaidi ya

Togoro Media Togoro Media

Walimu Sita Mbaroni Kifo Cha Mwanafunzi Bunda

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Pius Lutumo, amethibitisha kifo cha mwanafunzi Peter Maira, aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha sita katika shule ya sekondari Makongoro, iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya

Togoro Media Togoro Media

South Africa Safari Imeishia Hapa

South Africa imeaga rasmi Kombe la Dunia 2026 baada ya kupoteza 1-0 dhidi ya Canada kwenye hatua ya mtoano (Round of 32). Licha ya kupambana kwa nguvu hadi dakika za

Togoro Media Togoro Media

Daraja La Milioni 400 Kuleta Faraja Tarime

Ujenzi wa daraja la kisasa linalounganisha Kata za Matongo na Kibasuka wilayani Tarime unatarajiwa kumaliza tatizo la muda mrefu la ajali na vifo vilivyokuwa vikitokea wakati wananchi na wafugaji wakivuka

Togoro Media Togoro Media

Mamia Wajitokeza Kumzika Njiwa Manga

Msanii wa nyimbo za asili kutoka Butiama Mara, Njiwa Manga, leo amezikwa katika makaburi ya familia huko Butiama Mkoani Mara katika kijiji cha Buturu. Mazishi hayo yamehudhuriwa na mamia ya

Togoro Media Togoro Media

Serengeti Boys Yafuzu Fainali AFCON U-17

Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 (SERENGETI BOYS) imefuzu fainali ya AFCON U-17 na kuiondoa Misri kwenye mashindano hayo. Katika mtanange huo Serengeti Boys ilimaliza

Togoro Media Togoro Media

Mamelodi Sundowns Watawala Afrika: Mabingwa Wa CAF Champions League 2026

Katika usiku uliokuwa umejaa presha, historia na matumaini, Mamelodi Sundowns wameandika ukurasa mpya wa mafanikio kwa kutwaa ubingwa wa CAF Champions League 2026, wakithibitisha ubora wao kama moja ya vilabu

Togoro Media Togoro Media

Dakika Za Maamuzi!

Mamelodi Sundowns 1–1 AS FAR — dakika 90 zimekamilika, sasa tunaingia dakika 8 za nyongeza! Kila mpira sasa ni vita, kila nafasi ni historia! Mashabiki mioyo juu, hii ndiyo ile

Togoro Media Togoro Media

Jela Miaka 30 Kwa Kumbaka Mpwa Wake.

Mwanaume mwenye umri wa miaka 40 amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Eldoret nchini Kenya baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka na kumwambukiza mpwa wake wa

Togoro Media Togoro Media