Deogratius Ndejembi Apendekezwa Kuwa Makamu Wa Rais
Halmashauri Kuu ya CCM chini ya Mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan imempendekeza Deogratius Ndejembi (43) kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katibu Mkuu wa CCM,…
Dkt. Emmanuel Nchimbi Afukuzwa Uanachama CCM
Halmashauri Kuu ya CCM iliyoketi leo chini ya Mwenyekiti wake Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeadhimia kumfukuza uanachana aliyekuwa Makamu wa Rais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi. Akiongea leo Katibu Mkuu…
Ajali Ya Gari Yaua Wanne Ngukumo Nzega
Abiria wanne, wakiwemo watoto wawili, wamepoteza maisha baada ya basi la kampuni ya Miza Express kupata ajali katika eneo la Kijiji cha Ngukumo, Wilaya ya Nzega mkoani Tabora. Basi hilo…
Walimu Sita Mbaroni Kifo Cha Mwanafunzi Bunda
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Pius Lutumo, amethibitisha kifo cha mwanafunzi Peter Maira, aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha sita katika shule ya sekondari Makongoro, iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya…
South Africa Safari Imeishia Hapa
South Africa imeaga rasmi Kombe la Dunia 2026 baada ya kupoteza 1-0 dhidi ya Canada kwenye hatua ya mtoano (Round of 32). Licha ya kupambana kwa nguvu hadi dakika za…
Daraja La Milioni 400 Kuleta Faraja Tarime
Ujenzi wa daraja la kisasa linalounganisha Kata za Matongo na Kibasuka wilayani Tarime unatarajiwa kumaliza tatizo la muda mrefu la ajali na vifo vilivyokuwa vikitokea wakati wananchi na wafugaji wakivuka…
Mamia Wajitokeza Kumzika Njiwa Manga
Msanii wa nyimbo za asili kutoka Butiama Mara, Njiwa Manga, leo amezikwa katika makaburi ya familia huko Butiama Mkoani Mara katika kijiji cha Buturu. Mazishi hayo yamehudhuriwa na mamia ya…
Serengeti Boys Yafuzu Fainali AFCON U-17
Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 (SERENGETI BOYS) imefuzu fainali ya AFCON U-17 na kuiondoa Misri kwenye mashindano hayo. Katika mtanange huo Serengeti Boys ilimaliza…
Mamelodi Sundowns Watawala Afrika: Mabingwa Wa CAF Champions League 2026
Katika usiku uliokuwa umejaa presha, historia na matumaini, Mamelodi Sundowns wameandika ukurasa mpya wa mafanikio kwa kutwaa ubingwa wa CAF Champions League 2026, wakithibitisha ubora wao kama moja ya vilabu…

