Wanaanga Wa Artemis II Warejea Duniani Salama
Wanaanga wa Artemis II wamerejea salama Duniani baada ya kutua kwa ustadi mkubwa wakihitimisha safari yao ya kihistoria ya siku tisa Kikosi kilitua katika Bahari ya Pasifiki saa 01:07 BST…
Bei Ya Mafuta Duniani Yazidi Kupanda
Bei ya mafuta duniani imepanda huku wasiwasi ukiongezeka kuhusu iwapo makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran yatadumu baada ya Israel kuanzisha wimbi la mashambulizi dhidi ya Lebanon.…
Angela Kizigha Na Eveline Waapishwa Bungeni
Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Mussa Azzan Zungu, leo Aprili 9, 2026 amewaapisha Wabunge wateule Mhe. Angela Kizigha pamoja na Mhe. Dkt. Eveline Wilbard Munisi Bungeni jijini Dodoma. Hapo…
Zijue Injini Za 1G Beams 2000
Injini ya Toyota 1G‑BEAMS ni mojawapo ya injini maarufu za familia ya 1G kutoka Toyota, hasa kwenye magari ya miaka ya 1990–2000. Hapa kuna maelezo muhimu kuhusu hiyo injini 👇…
Madaktari Wa Hospitali Ya Sekou Toure Wapata Ajali
Madaktari sita wa Hospitali ya Sekou Toure jijini Mwanza wamejeruhiwa baada ya gari walilopanda kupata ajali katika Kijiji cha Maremwe, Kata ya Igongwa, wilayani Kwimba wakati wakitoka kutoa huduma kwenye…
KATAVI: Mwalimu Aidan Ramadhani Achinjwa Kama Mnyama
Mwalimu wa Shule ya Msingi Nguvumali mkoani Katavi, anaejulikana kwa jina la Aidan Ramadhani anaekadiriwa kuwa na umri wa miaka 42 hadi 43 ameuwa kikatili kwa kuchinjwa na kutenganishwa kichwa…
Guinea Waishika Pabaya CAF, Waudai Ubingwa Wa 1976
Shirikisho la soka nchini Guinea limewaomba CAF kufanya marejeo ya mchezo wa fainali ya Afcon mwaka 1976 kati yao na Morocco Mwaka huo ilichezwa fainali ya Afcon ambapo dakika ya…
Haroub Kabwe Awatolea Uvivu Wanaomdharau
Mwanahabari mkongwe na Mkurugenzi wa Haroub Media kutoka Mbeya ameweka wazi juu ya mijadala iliyoibuka kutoka kwa watu tofauti tofauti kuhusu umiliki wa nyumba yake mpya ya kifahari aliyoionesha hivi…
Chuck Norris Afariki Dunia Akiwa Na Miaka 86
Chuck Norris, mcheza filamu wa Marekani aliyejipatia umaarufu kwa uigizaji wake katika filamu ya "Walker, Texas Ranger," amefariki dunia. Familia yake imethibitisha taarifa ya kigo chake na kusema kuwa ni…


