Mtandao wa Facebook watimiza miaka 20.
Mwaka 2004 mtandao maarufu wa kijamii wa Facebook ulizinduliwa. Tangu wakati huo, mtandao maarufu zaidi wa kijamii ulimwenguni umekarabatiwa mara kadhaa. Lakini lengo lake limebaki sawa: kuunganisha watu mtandaoni na…
Profesa aamua kujishughulisha na uchomeleaji vyuma.
Kabir Abu Bilal sio profesa wa kawaida wa chuo kikuu cha Nigeria anayo kazi nyingine ya kuchomelea vyuma kaskazini mwa jiji la Zaria. Uchomeleaji unaonekana sana kama kazi duni kote…
Saturday Brainstorming on Togoro Media.
Hii ni picha ya baadhi ya wanafamilia wa aliyewahi kuwa kiongozi mkubwa Tanzania,Afrika na hata Dunia Kwa ujumla. Je? Umemtambua nani kwenye hii picha?? Toa majibu yako kwenye comments.
Walimu mkoani Geita wanyang’anywa viti vya kukalia.
Walimu wa shule ya msingi Nyansalala iliyopo kata ya Bukondo Halmashauri ya wilaya ya Geita, wamelazimika kufanya kazi wakiwa wamekaa chini baada ya kamati ya shule na uongozi wa kijiji…
Bashungwa ataka Miundombinu ya Barabara kurekebishwa haraka.
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Eng. Godfrey Kasekenya kufika katika maeneo yaliyoathiriwa na mvua mkoani Dar es Salaam na kuungana na Mtendaji Mkuu wa…
Dula Makabila arusha kijembe kwa Haji Manara.
Ikiwa ni masaa machache baada ya Haji Manara kumfanyia engagement mpenzi wake mpya Zaylissa, leo msanii Dula Makabila kwenye ukurasa wake wa Instagram ameandika kijembe ambacho wazi wazi kinaonekana kumhusu…
Rais Felix aapishwa kuiongoza DRC Muhula wa Pili.
Nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo,matokeo ya uchaguzi mkuu wa Desemba 20, 2023 yamekataliwa na viongozi wa upinzani. Watatu kati yao waliitisha maandamano leo, Moïse Katumbi, mgombea wa nafasi ya…
Habari katika magazeti ya leo January 20,2024.
Togoro Media inakusogezea vichwa vya habari katika magazeti ya leo January 20.
Mgodi wa Dhahabu Butiama wafungwa kisa Shule.
Mgodi uliovumbuliwa na Mkaazi wa Kitongoji cha Butasya Kata ya Butiama Wilaya ya Butiama ambapo watu kutoka sehemu mbalimbali waliweka kambi ili kujitafutia riziki zao Baada ya siku takribani tatu…
TFF yamfuta kazi Kocha mkuu timu ya Taifa.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limemfuta kazi Kocha Mkuu Abdel Amruche baada ya kushawishi kuwa Morocco "inaendesha soka la Afrika". CAF pia wamemfungia kocha huyo michezo 8 na faini…

