Yanga SC na Kaizer Chiefs wabisha hodi Cape Town City.
Vilabu vya Yanga SC na Kaizer Chiefs Vimebisha hodi kwenye klabu ya Cape Town City ili Kuipata huduma ya mshambuliaji wao Khanyisha Mayo.nakupenda Mayo kwa sasa ndiye mfungaji kinara wa…
Yanga Vs Mamelodi, Simba Vs Al Ahly ya Misri.
Michezo ya hatua ya robo fainali ya kombe la Klabu Bingwa barani Afrika inatarajiwa kuchezwa kati ya tarehe 30 na 31 Mwezi huu huku wawakilishi watatu wa Ukanda wa Afrika…
Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi afariki Dunia.
Rais wa awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi amefariki Dunia leo jioni. ‘’Hayati mzee Ali Hassan Mwinyi, amekua akipatiwa matibabu tangu Novemba mwaka jana…
Stendi ya Magari na Soko la kisasa kujengwa Wilayani Butiama.
Mh. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Kassim amesema kuwa lengo la Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na za kisasa Ameyasema hayo Leo wakati…
LIVE: Waziri Mkuu anahutubia wananchi wa Butiama.
Waziri mkuu, Kassim Majaliwa anahutubia wananchi wa Wilaya ya Butiama. Katika ziara yake Wilayani Butiama Mh. Waziri Mkuu ameongozana na Mbunge wa Jimbo la Butiama Jumanne Sagini, Mkuu wa mkoa…
Ziara ya Waziri Mkuu wilaya ya Butiama mamia wajitokeza.
Leo ni ziara ya Mh. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wilaya ya Butiama ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake mkoa wa Mara ambapo anatarajiwa kusalimiana na wananchi wa Butiama katika viunga…
Askari Mgambo auawa Kilimanjaro, Watu wanane wanashikiliwa na Polisi.
Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu wanane kwa mahojiano kuhusiana na tukio la mauaji ya Farijara Hamis Mboya, maarufu kwa jina la Kotex (40), Askari Mgambo aliyekuwa akisimamia…
Dokta Mahera atilia mkazo mafunzo kwa Waganga Wafawidhi.
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, TAMISEMI anayeshughulikia Afya, Dkt. Wilson Mahera amewataka waganga wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya ngazi ya msingi kuhakikisha wanawekeza katika mafunzo ili…
Fahamu Jumba la Makumbusho ya Hayati Nelson Mandela.
Tarehe 11/02/2000 ndipo lilipofunguliwa Jumba la Makumbusho ya aliyekuwa Rais wa kwanza wa Afrika ya kusini, Nelson Mandela. Jumba hilo lilijengwa kijijini kwake Mthatha alipozaliwa na kusoma shule ya msingi.
Hali si shwari Congo DR. Mji wa Goma hofu yaongezeka.
Hali halisi ilivyo katika mji wa Goma baada ya kuzuka kwa ghasia na mapigano ambayo yamewasababisha watu zaidi ya milioni saba kuwa wakimbizi wa ndani na kuhama makazi yao kwa…

