Ad imageAd image

LIVE: Waziri Mkuu anahutubia wananchi wa Butiama.

Togoro Media
0 Min Read

Waziri mkuu, Kassim Majaliwa anahutubia wananchi wa Wilaya ya Butiama.

Katika ziara yake Wilayani Butiama Mh. Waziri Mkuu ameongozana na Mbunge wa Jimbo la Butiama Jumanne Sagini, Mkuu wa mkoa wa Mara, Naibu Waziri wa Madini na Waziri wa Maji Mh. Juma Awezo.

Baada ya kuhutubia na kusalimiana na wananchi wa Butiama, Waziri Mkuu ataelekea Serengeti na baadaye wilaya ya Tarime.

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *