Ad imageAd image

Madaktari Wa Hospitali Ya Sekou Toure Wapata Ajali

Togoro Media
0 Min Read

Madaktari sita wa Hospitali ya Sekou Toure jijini Mwanza wamejeruhiwa baada ya gari walilopanda kupata ajali katika Kijiji cha Maremwe, Kata ya Igongwa, wilayani Kwimba wakati wakitoka kutoa huduma kwenye kambi ya matibabu ya kibingwa katika Hospitali ya Icheja.

Taarifa ya Jeshi la Polisi imesema kwamba ajali hiyo imetokana na dereva kujaribu kumkwepa mwendesha baiskeli aliyekuwa ameanguka barabarani.

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *