Ad imageAd image

Saturday Brainstorming on Togoro Media.

Hii ni picha ya baadhi ya wanafamilia wa aliyewahi kuwa kiongozi mkubwa Tanzania,Afrika na hata Dunia Kwa ujumla. Je? Umemtambua nani kwenye hii picha?? Toa majibu yako kwenye comments.

Togoro Media Togoro Media

Walimu mkoani Geita wanyang’anywa viti vya kukalia.

Walimu wa shule ya msingi Nyansalala iliyopo kata ya Bukondo Halmashauri ya wilaya ya Geita, wamelazimika kufanya kazi wakiwa wamekaa chini baada ya kamati ya shule na uongozi wa kijiji

Togoro Media Togoro Media

Bashungwa ataka Miundombinu ya Barabara kurekebishwa haraka.

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Eng. Godfrey Kasekenya kufika katika maeneo yaliyoathiriwa na mvua mkoani Dar es Salaam na kuungana na Mtendaji Mkuu wa

Togoro Media Togoro Media

Dula Makabila arusha kijembe kwa Haji Manara.

Ikiwa ni masaa machache baada ya Haji Manara kumfanyia engagement mpenzi wake mpya Zaylissa, leo msanii Dula Makabila kwenye ukurasa wake wa Instagram ameandika kijembe ambacho wazi wazi kinaonekana kumhusu

Togoro Media Togoro Media

Rais Felix aapishwa kuiongoza DRC Muhula wa Pili.

Nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo,matokeo ya uchaguzi mkuu wa Desemba 20, 2023 yamekataliwa na viongozi wa upinzani. Watatu kati yao waliitisha maandamano leo, Moïse Katumbi, mgombea wa nafasi ya

Togoro Media Togoro Media

Habari katika magazeti ya leo January 20,2024.

Togoro Media inakusogezea vichwa vya habari katika magazeti ya leo January 20.

Togoro Media Togoro Media

Mgodi wa Dhahabu Butiama wafungwa kisa Shule.

Mgodi uliovumbuliwa na Mkaazi wa Kitongoji cha Butasya Kata ya Butiama Wilaya ya Butiama ambapo watu kutoka sehemu mbalimbali waliweka kambi ili kujitafutia riziki zao Baada ya siku takribani tatu

Togoro Media Togoro Media

TFF yamfuta kazi Kocha mkuu timu ya Taifa.

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limemfuta kazi Kocha Mkuu Abdel Amruche baada ya kushawishi kuwa Morocco "inaendesha soka la Afrika". CAF pia wamemfungia kocha huyo michezo 8 na faini

Togoro Media Togoro Media

Watu watatu wakamatwa Geita kwa kumteka mtoto.

Watu watatu mkoani Geita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumteka mtoto mwenye umri wa miaka minne na kuitaka familia ya mtoto huyo kuwapatia Shilingi Milioni 4 ili

Togoro Media Togoro Media

Uvamizi wa Magari ya kusafirisha Fedha wakithiri Afrika Kusini

Uhalifu wa kimabavu unazidi kuongezeka nchini Afrika Kusini, huku wizi wa pesa katika magari yanayosafirisha fedha ukiwa jambo la kawaida na kiwango cha mauaji kikiwa juu. Hali hii inaifanya nchi

Togoro Media Togoro Media