Mjue Hayati Edward Ngoyai Lowassa.
Hayati Edward Ngoyai Lowassa alizaliwa mkoani Arusha tarehe 26/08/1953. Alikuwa waziri mkuu tangu mwaka 2005 - 2008 chini ya uongozi wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete. Mwaka 2008 alitangaza kujiuzulu baada…
Taasisi zote za Umma kuingia kwenye mfumo wa Serikali Mtandao (e-GA).
Waziri wa nchi ofisi ya Rais menejiment ya utumishi wa umma na utawala bora ,George Simbachawene amezitaka taasisi zote za umma nchini kuhakikisha zinaingia kwenye mfumo wa serikali mtandao( e-GA)…
Miss Japan 2024 ajivua taji kisa Mme wa mtu.
Mshindi wa shindano la urembo la Miss Japan mzaliwa wa Ukraine amejivua taji lake baada ya ripoti ya gazeti la udaku kufichua uhusiano wake na mwanamume aliye katika ndoa. Karolina…
Paul MacKenzie ashtakiwa kwa makosa 191.
Paul MacKenzie mwenye kanisa maarufu nchini Kenya ambapo mamia ya watu wanaodaiwa kufariki kutokana na njaa ameshtakiwa kwa makosa 191 ya mauaji. Paul Mackenzie na wenzake 29 walikana mashtaka mbele…
Taasisi za Kibenki kuwalipa Wafanyabiashara Moshi.
Chama Cha Mapinduzi kimezitaka Taasisi za kibenki ambazo ziliwakopesha Wafanyabiashara wa soko maarufu la Mbuyuni lililopo Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro kuwalipa fidia baada ya soko hilo kuungua kwa moto…
Waziri Mkuu Mgeni rasmi miaka 47 ya CCM Kagera.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye ni mlezi wa CCM Kanda ya Ziwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kufunga kilele cha maadhimisho ya Miaka 47 ya Chama cha Mapinduzi hii leo…
TANZIA: Rais wa Namibia afariki Dunia.
Rais wa Namibia Hage Geingob amefariki dunia wakati akipokea matibabu hospitalini katika mji mkuu, Windhoek. Makamu wa rais Nangolo Mbumba ametangaza kuwa Geingob amefariki Leo alfajiri. Kiongozi huyo mwenye umri…
Korea Kusini yatinga Nusu Fainali Asian Cup Kwa kuichapa Australia 2-1.
Mechi kati ya Korea Kusini na Australia imemalizika Kwa mabao 2-1 kwenye uwanja wa Al Janoub katika muda wa nyongeza na kuiwezesha Korea Kusini kutinga hatua ya Nusu Fainali ya…
Mzee Mwinyi apelekwa Hospitali Kwa kubanwa Kifua.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi amepelekwa hospitali akiugua maradhi ya kifua na anaendelea kupata matibabu chini ya uangalizi wa…
CCM Yawahimiza Vijana kugombea nafasi za Uongozi.
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimewataka vijana kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi huku kikiahidi kuwapa fursa kwa kuwapitisha kwa kuwa wanao uwezo wa kuongoza. Kauli hiyo ilitolewa jijini…

