Ad imageAd image

Watu watatu wakamatwa Geita kwa kumteka mtoto.

Togoro Media
1 Min Read

Watu watatu mkoani Geita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumteka mtoto mwenye umri wa miaka minne na kuitaka familia ya mtoto huyo kuwapatia Shilingi Milioni 4 ili waweze kumwachia huru mtoto huyo.

Akitoa taarifa hiyo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo, Bi.Safia Jongo , amesema tukio limetokea huko wilayani Mbogwe, na kwamba watekaji hao walitoa siku nne wawe wametumiwa fedha hizo, lakini Jeshi hilo limepambana na kufanikiwa kuwakamata ndani siku tatu

Chanzo: ITV

- Advertisement -
Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *