Ad image

Baharia Mtanzania Auawa Kwa Shambulio La Bomu Hormuz

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limesikitika kutangaza kifo cha baharia raia wa Tanzania, ndugu Mchama Maregesi Mongu kilichotokea Mei  03, 2026 wakati akihudumu katika meli ya kuvuta (tug

Togoro Media Togoro Media

Rais Ruto Kulihutubia Bunge La Tanzania

Rais wa Kenya, William Ruto, anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania Mei 5, 2026, ujio wa Rais Ruto una lengo la kuimarisha ushirikiano wa kikanda, hususani katika nyanja za biashara, uwekezaji

Togoro Media Togoro Media

Wanaanga Wa Artemis II Warejea Duniani Salama

Wanaanga wa Artemis II wamerejea salama Duniani baada ya kutua kwa ustadi mkubwa wakihitimisha safari yao ya kihistoria ya siku tisa Kikosi kilitua katika Bahari ya Pasifiki saa 01:07 BST

Togoro Media Togoro Media

Bei Ya Mafuta Duniani Yazidi Kupanda

Bei ya mafuta duniani imepanda huku wasiwasi ukiongezeka kuhusu iwapo makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran yatadumu baada ya Israel kuanzisha wimbi la mashambulizi dhidi ya Lebanon.

Togoro Media Togoro Media

Angela Kizigha Na Eveline Waapishwa Bungeni

Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Mussa Azzan Zungu, leo Aprili 9, 2026 amewaapisha Wabunge wateule Mhe. Angela Kizigha pamoja na Mhe. Dkt. Eveline Wilbard Munisi Bungeni jijini Dodoma. Hapo

Togoro Media Togoro Media

Zijue Injini Za 1G Beams 2000

Injini ya Toyota 1G‑BEAMS ni mojawapo ya injini maarufu za familia ya 1G kutoka Toyota, hasa kwenye magari ya miaka ya 1990–2000. Hapa kuna maelezo muhimu kuhusu hiyo injini 👇

Togoro Media Togoro Media

Madaktari Wa Hospitali Ya Sekou Toure Wapata Ajali

Madaktari sita wa Hospitali ya Sekou Toure jijini Mwanza wamejeruhiwa baada ya gari walilopanda kupata ajali katika Kijiji cha Maremwe, Kata ya Igongwa, wilayani Kwimba wakati wakitoka kutoa huduma kwenye

Togoro Media Togoro Media

KATAVI: Mwalimu Aidan Ramadhani Achinjwa Kama Mnyama

Mwalimu wa Shule ya Msingi Nguvumali mkoani Katavi, anaejulikana kwa jina la Aidan Ramadhani anaekadiriwa kuwa na umri wa miaka 42 hadi 43 ameuwa kikatili kwa kuchinjwa na kutenganishwa kichwa

Togoro Media Togoro Media

Guinea Waishika Pabaya CAF, Waudai Ubingwa Wa 1976

Shirikisho la soka nchini Guinea limewaomba CAF kufanya marejeo ya mchezo wa fainali ya Afcon mwaka 1976 kati yao na Morocco Mwaka huo ilichezwa fainali ya Afcon ambapo dakika ya

Togoro Media Togoro Media