Ad image

Kambarage Wasira Aupata Ubunge, Amshukuru Rais Samia

Mhandisi Kambarage Masato Wasira amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki. Amesema anamshukuru kwa Imani kubwa aliyoionesha kwake kupitia

Togoro Media Togoro Media

Watuhumiwa Mauaji Ya James Rogers Temba Wakamatwa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewakamata watuhumiwa wanne kuhusiana na mauaji ya James Rogers Temba, mwanafunzi wa mwaka wa pili wa Chuo cha IFM. Mwili wa marehemu

Togoro Media Togoro Media

Bei Ya Petroli Yazidi Kupanda Dar Es Salaam

Bei ya mafuta ya petroli imepanda kwa Jiji la Dar es Salaam toka shilingi 3,820 kwa lita mwezi Aprili hadi kufikia shilingi 4115 kwa lita mwezi Mei 2026, kulingana na

Togoro Media Togoro Media

Baharia Mtanzania Auawa Kwa Shambulio La Bomu Hormuz

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limesikitika kutangaza kifo cha baharia raia wa Tanzania, ndugu Mchama Maregesi Mongu kilichotokea Mei  03, 2026 wakati akihudumu katika meli ya kuvuta (tug

Togoro Media Togoro Media

Rais Ruto Kulihutubia Bunge La Tanzania

Rais wa Kenya, William Ruto, anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania Mei 5, 2026, ujio wa Rais Ruto una lengo la kuimarisha ushirikiano wa kikanda, hususani katika nyanja za biashara, uwekezaji

Togoro Media Togoro Media

Wanaanga Wa Artemis II Warejea Duniani Salama

Wanaanga wa Artemis II wamerejea salama Duniani baada ya kutua kwa ustadi mkubwa wakihitimisha safari yao ya kihistoria ya siku tisa Kikosi kilitua katika Bahari ya Pasifiki saa 01:07 BST

Togoro Media Togoro Media

Bei Ya Mafuta Duniani Yazidi Kupanda

Bei ya mafuta duniani imepanda huku wasiwasi ukiongezeka kuhusu iwapo makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran yatadumu baada ya Israel kuanzisha wimbi la mashambulizi dhidi ya Lebanon.

Togoro Media Togoro Media

Angela Kizigha Na Eveline Waapishwa Bungeni

Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Mussa Azzan Zungu, leo Aprili 9, 2026 amewaapisha Wabunge wateule Mhe. Angela Kizigha pamoja na Mhe. Dkt. Eveline Wilbard Munisi Bungeni jijini Dodoma. Hapo

Togoro Media Togoro Media

Zijue Injini Za 1G Beams 2000

Injini ya Toyota 1G‑BEAMS ni mojawapo ya injini maarufu za familia ya 1G kutoka Toyota, hasa kwenye magari ya miaka ya 1990–2000. Hapa kuna maelezo muhimu kuhusu hiyo injini 👇

Togoro Media Togoro Media