Majizzo Amlilia Denis Ssebo
Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Mkurugenzi wa Emf pamoja na TVE majizzo ameandika ujumbe huu… "Kwa moyo mzito na machozi mengi, nasikitika kutangaza kifo cha rafiki, kaka, aliyekuwa msimamizi…
Wawili Wahukumiwa Maisha Kwa Kubaka
Mahakama ya Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma imewahukumu Idd Abubakari Waitara (20) na Mabuda Ally Issa (20), wote wakazi wa Kijiji cha Jangalo, kwenda jela maisha na kuchapwa viboko kila…
Palm Jumeirah Ya Dubai Yashambuliwa
Shambulio moja limetokea eneo la Palm Jumeirah nchini Dubai. Kwa mujibu wa ofisi ya habari nchini humo, vikosi vya uokoaji vilitumwa mara moja katika eneo la tukio na moto uliotokana…
Amuua Mvuvi Mwenzake Kisa Wivu Wa Mapenzi
MWANZA:Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia mvuvi mmoja, Ndaishimiye Gerald Joseph (45), mkazi wa Kisiwa cha Zilagula, kwa tuhuma za kumuua mvuvi mwenzake, James Jastine Lameck (45), kufuatia wivu…
Haji Manara Aikataa Simba Hadharani.
Msemaji wa zamani wa klabu za Simba SC na Young Africans SC ambaye kwa sasa ni Diwani wa Kata ya Kariakoo Ndugu @hajismanara__ amesema kwa kipindi alichoitumikia klabu ya Simba kama Msemaji…
Waislamu Waanza Mfungo Wa Ramadhan Leo
Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir amethibitisha taarifa ya kuandama kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Amewaambia waandishi wa habari mkoani Dar es Salaam kuwa, kufuatia kuandama kwa Mwezi Mtukufu, Waumini…
Baba Amuua Mwanae Kisa Pombe ya Posa.
Moshi, Kilimanjaro Tukio la kusikitisha limetokea mkoani Kilimanjaro ambapo kijana mmoja amefariki dunia baada ya kushambuliwa na baba yake mzazi, kufuatia ugomvi uliotokana na pombe iliyokuwa imeandaliwa kwa ajili ya…
Hatimaye Mke Wa Mwijaku Arudi Nyumbani.
Baada ya sintofahamu ya muda mrefu juu ya kuvunjika kwa ndoa ya Mwijaku na mkewe, leo Mwijaku amempost mke wake akiwa nyumbani kwake huku akiambatanisha na maneno yanayoashiria kuwacheka waliofurahia…
Picha: Kikosi Cha Yanga SC Kimewasili Salama Cairo.
Kikosi cha Dar Es Salaam Young African Sports Club kimewasili mchana huu Jijini Cairo kikiwafuqta Al Ahly katika mchezo utakaopigwa Ijumaa hii.
Mzee Mtei Afariki Dunia.
Kwa masikitiko makubwa tumepokea taarifa za kifo cha Mzee Edwin Isaac Mbilinyi Mtei, mmoja wa waanzilishi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kiongozi wa taifa aliyeacha historia kubwa.…


