Madaktari Wa Hospitali Ya Sekou Toure Wapata Ajali
Madaktari sita wa Hospitali ya Sekou Toure jijini Mwanza wamejeruhiwa baada ya gari walilopanda kupata ajali katika Kijiji cha Maremwe, Kata ya Igongwa, wilayani Kwimba wakati wakitoka kutoa huduma kwenye…
KATAVI: Mwalimu Aidan Ramadhani Achinjwa Kama Mnyama
Mwalimu wa Shule ya Msingi Nguvumali mkoani Katavi, anaejulikana kwa jina la Aidan Ramadhani anaekadiriwa kuwa na umri wa miaka 42 hadi 43 ameuwa kikatili kwa kuchinjwa na kutenganishwa kichwa…
Guinea Waishika Pabaya CAF, Waudai Ubingwa Wa 1976
Shirikisho la soka nchini Guinea limewaomba CAF kufanya marejeo ya mchezo wa fainali ya Afcon mwaka 1976 kati yao na Morocco Mwaka huo ilichezwa fainali ya Afcon ambapo dakika ya…
Haroub Kabwe Awatolea Uvivu Wanaomdharau
Mwanahabari mkongwe na Mkurugenzi wa Haroub Media kutoka Mbeya ameweka wazi juu ya mijadala iliyoibuka kutoka kwa watu tofauti tofauti kuhusu umiliki wa nyumba yake mpya ya kifahari aliyoionesha hivi…
Chuck Norris Afariki Dunia Akiwa Na Miaka 86
Chuck Norris, mcheza filamu wa Marekani aliyejipatia umaarufu kwa uigizaji wake katika filamu ya "Walker, Texas Ranger," amefariki dunia. Familia yake imethibitisha taarifa ya kigo chake na kusema kuwa ni…
Majizzo Amlilia Denis Ssebo
Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Mkurugenzi wa Emf pamoja na TVE majizzo ameandika ujumbe huu… "Kwa moyo mzito na machozi mengi, nasikitika kutangaza kifo cha rafiki, kaka, aliyekuwa msimamizi…
Wawili Wahukumiwa Maisha Kwa Kubaka
Mahakama ya Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma imewahukumu Idd Abubakari Waitara (20) na Mabuda Ally Issa (20), wote wakazi wa Kijiji cha Jangalo, kwenda jela maisha na kuchapwa viboko kila…
Palm Jumeirah Ya Dubai Yashambuliwa
Shambulio moja limetokea eneo la Palm Jumeirah nchini Dubai. Kwa mujibu wa ofisi ya habari nchini humo, vikosi vya uokoaji vilitumwa mara moja katika eneo la tukio na moto uliotokana…
Amuua Mvuvi Mwenzake Kisa Wivu Wa Mapenzi
MWANZA:Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia mvuvi mmoja, Ndaishimiye Gerald Joseph (45), mkazi wa Kisiwa cha Zilagula, kwa tuhuma za kumuua mvuvi mwenzake, James Jastine Lameck (45), kufuatia wivu…

