Ad imageAd image

Mjue Pape Bouna Thiaw, Kocha Wa Timu Ya Taifa Ya Senegal.

Pape Bouna Thiaw, Kocha wa Timu ya Taifa ya SenegalJina Kamili: Pape Bouna ThiawTarehe ya Kuzaliwa: 5 Februari 1981Kazi: Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Senegal (Teranga Lions) tangu

Togoro Media Togoro Media

Senegal Bingwa Afcon 2025.

Ushindi wa ubingwa wa AFCON 2025 umeandika historia mpya baada ya Senegal kuibuka mabingwa dhidi ya Morocco katika fainali iliyovutia mamilioni ya mashabiki barani Afrika na duniani kote. Mchezo huo

Togoro Media Togoro Media

Niffer Na Chavala Waachiwa Huru.

Vijana Jennifer Jovin (26) maarufu ‘Niffer’ na Mika Chavala waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya uhaini wameachiliwa huru mchana huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam. Hatua

Togoro Media Togoro Media

Chuo Kikuu Cha Mwanza Chazuiliwa Kudahili 2025/2026.

Taarifa kutoka Jijini Mwanza zinasema kuwa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imesitisha udahili na usajili wa wanafunzi wa shahada ya udaktari wa binadamu kwa mwaka wa masomo 2025/26 katika

Togoro Media Togoro Media

Walioitwa Kwenye Mafunzo Ya Awali Jeshi La Magereza 2025 Hawa Hapa.

Haya hapa majina ya vijana ambao wamechaguliwa kujiunga na mafunzo ya awali ya Jeshi la Magereza 2025 Kiwira - Mbeya KUTAZAMA MAJINA YOTE BOFYA HAPA CHINI

Togoro Media Togoro Media

Papa Leo Avua Viatu Na Kuingia Msikitini Istanbul.

Papa Leo alitembelea msikiti wa The Blue Mosque huko Istanbul siku ya Jumamosi, na kuvua viatu vyake kama ishara ya heshima lakini hakushiriki sala wakati wa ziara hiyo. Hii ni

Togoro Media Togoro Media

Amuua Mwanaye Kisha Naye Kajinyonga Mbeya.

Kijana mmoja aitwaye Derick Mwangama (23), amejinyonga na kupoteza maisha baada ya kumuua mtoto wake wa miaka miwili, Deniva Derick kwa kutumia kamba ya manila huku uchunguzi wa awali ukionesha

Togoro Media Togoro Media

Mjue Farpraud, Binti Msomi Mwenye Ndoto Ya Kuwa Mwanamitindo Mkubwa.

Huyu hapa anaitwa Catherine Mtuya (Farpraud), Binti kutoka kabila la Chief Mkwawa, Mhehe na mzaliwa wa Iringa, mpenda michezo lakini zaidi anapenda mitindo, ndoto ambayo ameibeba na anaamini siku moja

Togoro Media Togoro Media