Waziri Mkuu akagua maendeleo ya mradi wa Maji Kisesa, Mwanza.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Desemba 21, 2024 amewasili mkoani Mwanza kwa ziara ya kikazi na kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa tenki la kuhifadhi maji la Kisesa, mkoani…
TANZIA: Daktari Faustine Ndungulile Afariki Dunia.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe; Tulia Ackson leo ametangaza kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni, Daktari Faustine Ndungulile kilichotokea Nchini India ambako alikuwa akipatiwa matibabu.…
Ajali ya Ghorofa yaenda na Niffer.
Mwana mitandao na mfanyabiashara maarufu wa nguo, Niffer amekamatwa na Jeshi la Polisi baada ya kuchangisha fedha takribani Milioni 37 kwa watanzania kufuatia ajali ya Ghorofa iliyotokea Kariakoo mapema Jumamosi…
TANZIA: King Kikii Afariki Dunia
Mwanamuziki nguli wa miaka mingi kwenye muziki wa dansi nchini, Kikumbi Mwanza Mpango maarufu kama King Kikii amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo. Mzee King Kikii amefikwa na mauti katika…
TANZIA: Mchekeshaji Pembe Afariki Dunia.
Mchekeshaji maarufu nchini, Pembe amefariki Dunia leo katika Hospitali ya Temeke alipokuwa anapatiwa matibabu. Akithibitisha taarifa hizo, rafiki wa karibu na Pembe, Senga ambaye wamefanya kazi pamoja kwa muda mrefu…
Mwanamuziki Liam Payne afariki Hotelini.
Mwimbaji maarufu kutoka Uingereza Liam Payne amefariki dunia siku ya Jumatano Oktoba 16,2024 akiwa na umri wa miaka 31. Taarifa za awali zinaeleza kuwa mwili wake ulikutwa umedhoofu sana akihofiwa…
Vodacom Twende Butiama 2024 na mafanikio yake.
Msafara wa Vodacom Twende Butiama 2024 uliokamilika rasmi mnamo tarehe 13 Oktoba kwa mafanikio makubwa, ulihitimishwa wilayani Butiama, kijijini kwa Hayati Baba wa Taifa, Mwl. Julius K. Nyerere katika mkoa…
Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa anaongea na waandishi wa Habari mapema leo maeneo ya Magomeni Mapipa. Kwa taarifa…
Simba SC yapata Sare ugenini.
Mchezo wa mzunguko wa kwanza wa michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika uliozikutanisha Simba ya Tanzania na Al Ahly Tripoli ya Libya umetamatika kwa sare ya bila kufungana. Mchezo…
Christiano Ronaldo hits 1 Billion followers on his social media.
A big history made by a Portuguese player, Christiano Ronaldo today and he wrote "We’ve made history — 1 BILLION followers! This is more than just a number - it’s…


