Niffer Na Chavala Waachiwa Huru.
Vijana Jennifer Jovin (26) maarufu ‘Niffer’ na Mika Chavala waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya uhaini wameachiliwa huru mchana huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam. Hatua…
Chuo Kikuu Cha Mwanza Chazuiliwa Kudahili 2025/2026.
Taarifa kutoka Jijini Mwanza zinasema kuwa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imesitisha udahili na usajili wa wanafunzi wa shahada ya udaktari wa binadamu kwa mwaka wa masomo 2025/26 katika…
Walioitwa Kwenye Mafunzo Ya Awali Jeshi La Magereza 2025 Hawa Hapa.
Haya hapa majina ya vijana ambao wamechaguliwa kujiunga na mafunzo ya awali ya Jeshi la Magereza 2025 Kiwira - Mbeya KUTAZAMA MAJINA YOTE BOFYA HAPA CHINI
Papa Leo Avua Viatu Na Kuingia Msikitini Istanbul.
Papa Leo alitembelea msikiti wa The Blue Mosque huko Istanbul siku ya Jumamosi, na kuvua viatu vyake kama ishara ya heshima lakini hakushiriki sala wakati wa ziara hiyo. Hii ni…
Amuua Mwanaye Kisha Naye Kajinyonga Mbeya.
Kijana mmoja aitwaye Derick Mwangama (23), amejinyonga na kupoteza maisha baada ya kumuua mtoto wake wa miaka miwili, Deniva Derick kwa kutumia kamba ya manila huku uchunguzi wa awali ukionesha…
Mjue Farpraud, Binti Msomi Mwenye Ndoto Ya Kuwa Mwanamitindo Mkubwa.
Huyu hapa anaitwa Catherine Mtuya (Farpraud), Binti kutoka kabila la Chief Mkwawa, Mhehe na mzaliwa wa Iringa, mpenda michezo lakini zaidi anapenda mitindo, ndoto ambayo ameibeba na anaamini siku moja…
Hili Hapa Baraza Jipya La Mawaziri Tanzania.
Leo Novemba 17, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametangaza Baraza jipya la Mawaziri huku akiteua Mawaziri 27 na Naibu Mawaziri 29 kama inavyoonekana hapo chini
MC Pilipili Afariki Dunia.
Taarifa zilizotufikia jioni ya leo ni kwamba Mchekeshaji na Mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias almaarufu MC Pilipili amefariki Dunia. Inasemekana kwamba MC Pilipili alisafiri kuelekea Dodoma ambako jioni ya leo…
BREAKING NEWS: Rais Samia Amemteua Mwigulu Nchemba Kuwa Waziri Mkuu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Daktari Samia Suluhu Hassan leo Novemba 13, 2025 amemteua Dk. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu.

