Ad image

Mussa Azzan Zungu Aapishwa Kuwa Spika Wa Bunge.

Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu leo Jumanne ya Novemba 11, 2025 ameapishwa rasmi kuwa Spika Mpya wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mheshimiwa Zungu anachukua nafasi ya

Togoro Media Togoro Media

Watahiniwa Wa Kujitegemea Kidato Cha Sita 2026 Waongezewa Muda Wa Usajili.

Muda wa usajili kwa watahiniwa wa kujitegemea kwa Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) 2026 umeongezwa kuanzia tarehe 06 Novemba, 2025 hadi tarehe 30 Novemba, 2025.  Ada ya usajili kwa kipindi hiki ni Tsh

Togoro Media Togoro Media

NECTA Yatangaza Ratiba Mpya FTNA na CSEE 2025.

Baraza la mitihani la Taifa (NECTA) leo Novemba 4, 2025 limeweka wazi ratiba ya mitihani ya Taifa ya kidato cha Pili na kidato cha Nne 2025. Kutazama ratiba Bofya hapa

Togoro Media Togoro Media

Jimmy Carter the Nobel winning humanitarian died at 100.

Jimmy Carter, the 39th president of the United States and a former peanut farmer whose vision of a "competent and compassionate" government propelled him into the White House, died at

Togoro Media Togoro Media

KDN wafanya mkutano mkuu wa Mwaka 2024.

Leo Desemba 7 Umoja wa watoto wa Karukekere Kata ya Namhula wilaya ya Bunda DC wanaoishi nje ya Kijiji hicho wakiwa wamekutana ikiwa ni mara ya nne tangu umoja huo

Togoro Media Togoro Media

Mbowe kugombea tena Uenyekiti CHADEMA.

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema atagombea nafasi ya Uenyekiti wa chama hicho ambao amekuwa akihudumu kwa takriban miaka 20. Mbowe aliwaomba wanachama na baadhi ya viongozi wa CHADEMA kumpa

Togoro Media Togoro Media

Waziri Mkuu akagua maendeleo ya mradi wa Maji Kisesa, Mwanza.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Desemba 21, 2024 amewasili mkoani Mwanza kwa ziara ya kikazi na kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa tenki la kuhifadhi maji la Kisesa, mkoani

Togoro Media Togoro Media

TANZIA: Daktari Faustine Ndungulile Afariki Dunia.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe; Tulia Ackson leo ametangaza kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni, Daktari Faustine Ndungulile kilichotokea Nchini India ambako alikuwa akipatiwa matibabu.

Togoro Media Togoro Media

Ajali ya Ghorofa yaenda na Niffer.

Mwana mitandao na mfanyabiashara maarufu wa nguo, Niffer amekamatwa na Jeshi la Polisi baada ya kuchangisha fedha takribani Milioni 37 kwa watanzania kufuatia ajali ya Ghorofa iliyotokea Kariakoo mapema Jumamosi

Togoro Media Togoro Media

TANZIA: King Kikii Afariki Dunia

Mwanamuziki nguli wa miaka mingi kwenye muziki wa dansi nchini, Kikumbi Mwanza Mpango maarufu kama King Kikii amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo. Mzee King Kikii amefikwa na mauti katika

Togoro Media Togoro Media