Mkuu wa mkoa wa Mara ampa RAS mwezi mmoja kumaliza kero katika Taasisi zote.
Mkuu wa mkoa wa Mara amemuagiza RAS wa mkoa huo muda wa mwezi mmoja kushughulikia kero katika Taasisi zote mkoani humo. Hayo ameyasema leo katika hotuba yake kwenye sherehe za…
Butiama Mei Mosi kumenoga.
Umati wa Wafanyakazi na Watumishi wa Taasisi mbalimbali Mkoani Mara wakibubujikwa na furaha kufuatia Mh. Esther Bulaya (Mb Bunda Mjini) kutaja changamoto ya Kikokotoo cha mafao ya wafanyakazi na kupendekeza…
PICHA: Maadhimisho ya Mei Mosi mkoa wa Mara yalivyofana.
Leo ni siku ya wafanyakazi Duniani na kwa mkoa wa Mara sherehe hizo zinafanyika wilayani Butiama katika viwanja vya mnada wa Kiabakari. Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoani Mara yameongozwa…
PICHA: Viongozi wakiapa kiapo cha Maadili Ikulu.
Pichani ni ndugu Bibiana Joseph Kileo Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka, Ndugu Alice Edward Mtulo Naibu Wakili Mkuu wa Serikali na Ndugu Winfrida Beatrice Korosso Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria…
Wenyeviti wa Vitongoji Serengeti wadai Posho zao.
Wenyeviti takribani 30 wa vitongoji vinavyounda Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mugumu wameibana Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara iwalipe malimbikizo ya posho zao za vikao na madaraka, kiasi…
Wafungwa zaidi ya 1000 wapata msamaha wa Rais.
Jumla ya wafungwa 1082, wamepata msamaha wa Rais leo ambapo 29 kati yao wameachiliwa huru leo Aprili 26, 2024. Wafungwa 20 waliohukumiwa adhabu ya kifo wamebadilishiwa adhabu hiyo na kuwa…
Wakuu wa mataifa 6 Afrika kuhudhuria sherehe za maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Katika kuadhimisha miaka 60 ya muungano wa Tanganyia na Zanzibar, wakuu wa mataifa 6 Afrika wantarajiwa kuhudhuria sherehe hizo zinazotarajiwa kufanyika kitaifa Jijini Dar Es Salaam katika uwanja wa uhuru…
Kariakoo Derby Ligi Kuu ya Wanawake kupigwa leo.
Mchezo wa Ligi Kuu ya wanawake baina ya Simba Queens na Yanga Princess utachezwa leo Saa 10:00 jioni ndani ya Dimba la Azam Complex. Katika mechi ya mzunguko wa kwanza…
Bahari Mpya kuzaliwa Barani Afrika.
Bahari mpya inaibuka barani Afrika, kulingana na utafiti mpya, ni mchakato ambao ulidhaniwa ungechukua kati ya miaka milioni 5 na 10, lakini utafiti mpya wa kisayansi unaonesha kuibuka huko kunaweza…
SUA na Serikali ya Norway kushirikiana kukuza sekta ya Kilimo.
Ubalozi wa Norway Nchini, umesema utaendelea kushirikiana na Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine cha Morogoro – SUA, katika kufadhili na kutekeleza Miradi mbalimbali ya Kilimo, Ufugaji na mabadiliko ya Tabia…


