Ad image

Dj. D Ommy aondoka Clouds Media Group.

Aliekuwa Dj maarufu kutoka Clouds Fm na Clouds TV, Dj. D Ommy ameondoka Clouds Media Group rasmi leo. D Ommy ameondoka muda mfupi baada ya kutangazwa kujiunga na team mpya

Togoro Media Togoro Media

TAWA yatoa somo kwa wanaoishi maeneo yenye mamba.

Katika kukabiliana na Wanyamapori hususani Mamba na Kiboko, Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Nchini – TAWA, Kanda Maalum ya Dar es Salaam imewapa mafunzo maalum Wanafunzi wa Shule ya Sekondari

Togoro Media Togoro Media

Yanga SC yazidi kupaa kileleni NBC Premier League.

Klabu ya soka ya Yanga leo imecheza mchezo wake wa 26 dhidi ya Kagera Sugar ambapo katika mchezo huo Yanga imepata pointi tatu kwa kufunga goli moja kupitia kwa mchezaji

Togoro Media Togoro Media

Video Director Khalfani afariki Dunia.

Aliyekuwa Mtayarishaji wa Video za Muziki wa Bongo Flava Nchini, Khalfani Khalimandro amefariki Dunia Director Khalfani alilazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) akiwa na tatizo

Togoro Media Togoro Media

Mkuu wa Mkoa wa Mara akemea Ukatili na mauaji ya kiholela mkoani humo.

Katika kusherehekea siku ya wafanyakazi, Mei Mosi mkoni Mara, Mkuu wa Mkoa huo Mhe, Kanali Alfred Mtambi amekemea vitendo vya ukatili na mauaji ya kiholela mkoani humo. Katika hotuba yake

Togoro Media Togoro Media

Mkuu wa mkoa wa Mara ampa RAS mwezi mmoja kumaliza kero katika Taasisi zote.

Mkuu wa mkoa wa Mara amemuagiza RAS wa mkoa huo muda wa mwezi mmoja kushughulikia kero katika Taasisi zote mkoani humo. Hayo ameyasema leo katika hotuba yake kwenye sherehe za

Togoro Media Togoro Media

Butiama Mei Mosi kumenoga.

Umati wa Wafanyakazi na Watumishi wa Taasisi mbalimbali Mkoani Mara wakibubujikwa na furaha kufuatia Mh. Esther Bulaya (Mb Bunda Mjini) kutaja changamoto ya Kikokotoo cha mafao ya wafanyakazi na kupendekeza

Togoro Media Togoro Media

PICHA: Maadhimisho ya Mei Mosi mkoa wa Mara yalivyofana.

Leo ni siku ya wafanyakazi Duniani na kwa mkoa wa Mara sherehe hizo zinafanyika wilayani Butiama katika viwanja vya mnada wa Kiabakari. Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoani Mara yameongozwa

Togoro Media Togoro Media

PICHA: Viongozi wakiapa kiapo cha Maadili Ikulu.

Pichani ni ndugu Bibiana Joseph Kileo Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka, Ndugu Alice Edward Mtulo Naibu Wakili Mkuu wa Serikali na Ndugu Winfrida Beatrice Korosso Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria

Togoro Media Togoro Media