Ad imageAd image

Crown Media yamrudisha Dullah Planet kwenye Mic.

Leo Crown Media inayomilikiwa na msanii wa Bongo Flava, Ali kiba, imefanya utambulisho wa wafanyakazi wake wakiwemo waandishi wa habari na watangazaji. Mmoja kati ya watu waliotambulishwa rasmi ni aliyewahi

Togoro Media Togoro Media

Rainford Kalaba hajafa, yuko ICU, Madaktari wathibitisha.

Taarifa iliyosambaa awali kuwa Mchezaji Rainford Kalaba amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari imekanushwa na madaktari wa hospitali moja huko Lusaka nchini Zambia alikofikishwa mchezaji huyo kwa matibabu

Togoro Media Togoro Media

Mchezaji wa TP Mazembe na Timu ya Taifa ya Zambia afariki kwa ajali.

Mchezaji na kiungo fundi kutoka TP Mazembe na Timu ya Taifa ya Zambia, Chipolopolo, Rainford Kalaba amefariki dunia. Taarifa zilizotufikia ni kwamba mchezaji huyo amepata ajali mbaya ya gari alilokuwa

Togoro Media Togoro Media

Makonda awaombea Barabara watu wa Arusha kwa Mama Samia kwa mbwembwe.

Leo April 12 ni siku ya kumbukizi ya miaka 40 ya kifo cha Hayati Edward Moringe Sokoine ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Daktari Samia Suluhu Hassan amefika

Togoro Media Togoro Media

Ajali ya gari la Wanafunzi Ghati Memorial waliothibitishwa kufariki wafika watano.

Vifo vya wanafunzi vilivyotokana na ajali ya gari la Shule ya Msingi Ghati Memorial ya mkoani Arusha vimefikia vitano baada ya miili mimgine minne ya wanafunzi kupatikana. Gari hilo lenye

Togoro Media Togoro Media

Gari la shule ya Msingi Ghati Memorial lapata ajali, mmoja afariki.

Mwanafunzi mmoja amepoteza maisha na saba hawajulikani walipo baada ya gari la shule ya Msingi Ghati Memorial, iliyopo Mkoani Arusha, kuanguka kwenye korongo linalopitisha maji. Ajali hiyo imetokea katika mitaa

Togoro Media Togoro Media

Waliofariki ajali ya Lujiga Express Singida wafika 9.

Idadi ya watu waliofariki dunia katika ajali ya basi la Lujiga Express lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mwanza lenye namba za usajili T 315 CXX iliyotokea wilayani Iramba mkoani

Togoro Media Togoro Media

Infinix Note 40 yatambulishwa rasmi Tanzania.

Kampuni ya simu za mkononi ya Infinix Mobile Tanzania imezindua rasmi toleo jipya la simu za NOTE 40 series na kutangaza kuwa sasa ni rasmi simu hizo zimeanza kuuzwa Nchini

Togoro Media Togoro Media

Mwanamuziki Malu Stonch afariki akiwa anaimba jukwaani.

Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Malu Stonch amefariki dunia usiku wa jana baada ya kuanguka ghafla jukwaani katika ukumbi wa Target uliopo Mbezi Beach wakati akiimba pamoja na

Togoro Media Togoro Media

Yanga yatolewa na Mamelodi Sundowns robo fainali.

Klabu ya soka ya yanga leo imetolewa katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya dakika 90 kukamilika kwa suluhu ya bila bila na kupelekea kupigwa mikwaju ya Penalti

Togoro Media Togoro Media