Fiston Mayele afuta picha zote akiwa na jezi ya Yanga SC.
Baada ya kuonekana kwenye kambi ya Simba SC nchini misri na kufanyiwa mahojiano na Afisa Habari wa klabu hiyo, Ahmed Ally, Mshambuliaji wa Klabu ya pyramids ya nchini misri, Fiston…
Ally Hapi achaguliwa kuwa Katibu Mkuu Umoja wa wazazi Tanzania.
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imemteua Ndugu Ally Salum Hapi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi Tanzania, akichukua nafasi ya Ndugu Gilbert Kalima ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu…
Jokate Mwegelo achaguliwa kuwa Katibu Mkuu UVCCM Taifa.
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imemteua Ndugu Jokate Urban Mwegelo kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM, akichukua nafasi ya Ndugu Fakii Raphael Lulandala ambaye ameteuliwa…
Basi la Yanga SC laharibikia njiani likitokea Airport.
Leo Mamelod Sundowns wamewapa Yanga gari bovu ambalo limeharibika baada ya kilometa 5 tu kutoka OR Tambo International Airport, Afrika Kusini. Ikumbukwe kuwa Mamelod walikataa gari waliopewa na Yanga kuwapokea…
BUNDA: Mke amuua mme wake kwa kumng’ata ulimi.
Afisa Kilimo katika kata ya Neruma wilaya ya Bunda mkoa wa Mara anayefahamika kwa jina la Julius Rubambi (38) ameuawa kwa kuchomwa kisu na kung'atwa ulimi na mkewe kutokana na…
Mwalimu Herieth Lupembe auawa kikatili Mbeya.
Herieth Lupembe ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi Mbugani na Mkazi wa Kiwanja kata ya Kiwanja Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya pamoja na mwanafunzi wa kidato cha kwanza sekondari…
TANESCO: Umeme unarudi sasa, Mikoa ya Singida, Dodoma na Tanga kuanza.
Msemaji wa Shirika la umeme Tanzania (TANESCO), Eng. Kenneth Boymanda amesema umeme utaanza kurejeshwa kwa awamu katika maeneo uliyokatika kutokana na hitilafu iliyotokea kwenye gridi ya Taifa. Amesema baadhi ya…
Amuua mwanae ili achangiwe fedha na Vikundi.
Marwa Menganyi, mkazi wa Kijiji Keroti, Wilaya ya Tarime, mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake Celina Marwa mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi mdomoni na puani hadi kufa,…
Paul Christian Makonda ateuliwa Mkuu wa mkoa wa Arusha.
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Paul Christian Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Kabla ya uteuzi huo, Makonda alikuwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi…
Mwenyekiti wa CCM Taifa agawa Pikipiki kwa Viongozi wa Chama Wilaya ya Butiama.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Mhe, Samia Suluhu Hassan leo Machi 31, amegawa pikipiki kwa Viongozi wa Chama ngazi ya Kata na jumuiya zote Wilayani Butiama. Akiongoza zoezi hilo,…


