Ad imageAd image

Kariakoo Derby Ligi Kuu ya Wanawake kupigwa leo.

Togoro Media
0 Min Read

Mchezo wa Ligi Kuu ya wanawake baina ya Simba Queens na Yanga Princess utachezwa leo Saa 10:00 jioni ndani ya Dimba la Azam Complex.

Katika mechi ya mzunguko wa kwanza Simba Queens waliibuka na ushindi
Je, ni Simba Queens tena ama Yanga Princess kulipa kisasi?

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *