Ad imageAd image

Chuck Norris Afariki Dunia Akiwa Na Miaka 86

Togoro Media
0 Min Read

Chuck Norris, mcheza filamu wa Marekani aliyejipatia umaarufu kwa uigizaji wake katika filamu ya “Walker, Texas Ranger,” amefariki dunia.

Familia yake imethibitisha taarifa ya kigo chake na kusema kuwa ni kifo cha ghafla. Chuck Norris amefariki akiwa na umri wa miaka 86.

Chuck Norris alifariki Alhamisi ya Machi 19, 2026 huko Hawaii nchini Marekani.

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *