Ad image

Makamu wa Rais akasirika, atangaza kuacha kazi.

Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe. Dkt.Philip Mpango ametangaza kuacha kazi endapo mradi wa maji wa Same - Mwanga -Korogwe hautakamilika ifikapo mwezi Juni mwaka huu, kutokana na mradi huo

Togoro Media Togoro Media

Upatikanaji wa Kondomu kurahisishwa ili kupunguza maambukizi ya VVU.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeshauri serikali kuongeza nguvu ya mapambano dhidi ya virusi vya UKIMWI katika maeneo ya migodi, vituo vya magari makubwa,

Togoro Media Togoro Media

JUX: Kosa la aliyepita isiwe sababu ya kumtesa anayekuja.

Ikiwa leo ndo siku ya uzinduzi wa project mpya ya Msanii Juma Jux (Bado), Jux ameshea nasi experience alopitia kwenye mapenzi kwa kuandika "Kuna namna mapenzi yanakupitisha kwenye experience flani

Togoro Media Togoro Media

MBEYA: Wakamatwa wakitorosha Kilo 9.5 za Dhahabu.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watu kumi kwa tuhuma za kutorosha kilo 9.5 za madini ya dhahabu. Waziri wa madini Anthony Mavunde amesema thamani ya dhahabu iliyokamatwa ina

Togoro Media Togoro Media

MABEYO: Hayati Joseph Magufuli alijua hatapona.

Ikiwa jana imetimia miaka 3 tangu Rais wa awamu ya Tano, Mh. John Pombe Magufuli kufariki, Mkuu wa majeshi mstaafu Venance Mabeyo ametoa siri aliyoificha kwa muda mrefu. Mabeyo anasema

Togoro Media Togoro Media

Mtoto ajinyonga kisa ugomvi wa wazazi.

Mtoto Rafia Adamu mwenye umri wa miaka 8 anayesoma darasa la pili mkazi wa Kata ya Maisaka, wilayani Babati mkoani Manyara, amejinyonga majira ya saa Saba mchana baada ya kuona

Togoro Media Togoro Media

Minada ya Kisasa 51 yajengwa ndani ya miaka 3 ya Rais Samia.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema kuwa katika kipindi cha miaka 3 ya Uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan, jumla ya

Togoro Media Togoro Media

Ally Gugu ateuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani.

Rais wa Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Ally Senga Gugu kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Kabla ya uteuzi huu Bw. Ally Gugu alikuwa

Togoro Media Togoro Media

Harmonize atimiza umri wa miaka 30, aahidi kubadilika.

Leo Machi 15, 2024 msanii wa Bongo flava nchini, Harmonize ametimiza umri wa miaka 30. Katika ukurasa wake wa Instagram Harmonize ameandika... "Turn to 30 years of my life!! I

Togoro Media Togoro Media

TETESI: Fiston Mayele kutua Azam FC kuziba nafasi ya Dube.

Klabu ya Azam FC imempa ofa ya mshahara wa dola 15,000 (zaidi ya milioni 38 za Kitanzania) kwa mwezi na ada ya usajili ya ya milioni 300 mshambuliaji wa kimataifa

Togoro Media Togoro Media