Ad imageAd image

Askari Mgambo auawa Kilimanjaro, Watu wanane wanashikiliwa na Polisi.

Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu wanane kwa mahojiano kuhusiana na tukio la mauaji ya Farijara Hamis Mboya, maarufu kwa jina la Kotex (40), Askari Mgambo aliyekuwa akisimamia

Togoro Media Togoro Media

Dokta Mahera atilia mkazo mafunzo kwa Waganga Wafawidhi.

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, TAMISEMI anayeshughulikia Afya, Dkt. Wilson Mahera amewataka waganga wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya ngazi ya msingi kuhakikisha wanawekeza katika mafunzo ili

Togoro Media Togoro Media

Fahamu Jumba la Makumbusho ya Hayati Nelson Mandela.

Tarehe 11/02/2000 ndipo lilipofunguliwa Jumba la Makumbusho ya aliyekuwa Rais wa kwanza wa Afrika ya kusini, Nelson Mandela. Jumba hilo lilijengwa kijijini kwake Mthatha alipozaliwa na kusoma shule ya msingi.

Togoro Media Togoro Media

Hali si shwari Congo DR. Mji wa Goma hofu yaongezeka.

Hali halisi ilivyo katika mji wa Goma baada ya kuzuka kwa ghasia na mapigano ambayo yamewasababisha watu zaidi ya milioni saba kuwa wakimbizi wa ndani na kuhama makazi yao kwa

Togoro Media Togoro Media

Mjue Hayati Edward Ngoyai Lowassa.

Hayati Edward Ngoyai Lowassa alizaliwa mkoani Arusha tarehe 26/08/1953. Alikuwa waziri mkuu tangu mwaka 2005 - 2008 chini ya uongozi wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete. Mwaka 2008 alitangaza kujiuzulu baada

Togoro Media Togoro Media

Taasisi zote za Umma kuingia kwenye mfumo wa Serikali Mtandao (e-GA).

Waziri wa nchi ofisi ya Rais menejiment ya utumishi wa umma na utawala bora ,George Simbachawene amezitaka taasisi zote za umma nchini kuhakikisha zinaingia kwenye mfumo wa serikali mtandao( e-GA)

Togoro Media Togoro Media

Miss Japan 2024 ajivua taji kisa Mme wa mtu.

Mshindi wa shindano la urembo la Miss Japan mzaliwa wa Ukraine amejivua taji lake baada ya ripoti ya gazeti la udaku kufichua uhusiano wake na mwanamume aliye katika ndoa. Karolina

Togoro Media Togoro Media

Paul MacKenzie ashtakiwa kwa makosa 191.

Paul MacKenzie mwenye kanisa maarufu nchini Kenya ambapo mamia ya watu wanaodaiwa kufariki kutokana na njaa ameshtakiwa kwa makosa 191 ya mauaji. Paul Mackenzie na wenzake 29 walikana mashtaka mbele

Togoro Media Togoro Media

Taasisi za Kibenki kuwalipa Wafanyabiashara Moshi.

Chama Cha Mapinduzi kimezitaka Taasisi za kibenki ambazo ziliwakopesha Wafanyabiashara wa soko maarufu la Mbuyuni lililopo Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro kuwalipa fidia baada ya soko hilo kuungua kwa moto

Togoro Media Togoro Media

Waziri Mkuu Mgeni rasmi miaka 47 ya CCM Kagera.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye ni mlezi wa CCM Kanda ya Ziwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kufunga kilele cha maadhimisho ya Miaka 47 ya Chama cha Mapinduzi hii leo

Togoro Media Togoro Media