Ad image

Miss Japan 2024 ajivua taji kisa Mme wa mtu.

Togoro Media
0 Min Read

Mshindi wa shindano la urembo la Miss Japan mzaliwa wa Ukraine amejivua taji lake baada ya ripoti ya gazeti la udaku kufichua uhusiano wake na mwanamume aliye katika ndoa.

Karolina Shiino, 26, alitawazwa kuwa mshindi wa taji la Miss Japan wiki mbili zilizopita.

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *