Ad imageAd image

Mtandao wa Facebook watimiza miaka 20.

Togoro Media
0 Min Read

Mwaka 2004 mtandao maarufu wa kijamii wa Facebook ulizinduliwa.

Tangu wakati huo, mtandao maarufu zaidi wa kijamii ulimwenguni umekarabatiwa mara kadhaa.

Lakini lengo lake limebaki sawa: kuunganisha watu mtandaoni na kutengeneza mabilioni na mabilioni ya pesa kutokana na matangazo ya kibiashara.

- Advertisement -

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *