Ad imageAd image

Makamu wa Rais akasirika, atangaza kuacha kazi.

Togoro Media
0 Min Read

Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe. Dkt.Philip Mpango ametangaza kuacha kazi endapo mradi wa maji wa Same – Mwanga -Korogwe hautakamilika ifikapo mwezi Juni mwaka huu, kutokana na mradi huo kusuasua kwa zaidi ya miaka 19 huku wananchi wakitaabika na adha ya ukosefu wa maji safi na salama.

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *