Ad imageAd image

Jengo refu zaidi Duniani kujengwa Saudi Arabia.

Togoro Media
0 Min Read

Ujenzi wa jengo refu zaidi duniani huko nchini Saudi Arabia utakamilika hivi karibuni.

Baada ya kukamilika, jengo hili litavunja rekodi ya majengo mengine marefu zaidi duniani kwa tofauti kubwa.

“Jeddah Tower” ni jengo lenye urefu wa ajabu wa mita elfu moja katika bandari ya Jeddah nchini Saudi Arabia ni takriban mita 200 juu kuliko majengo marefu zaidi ya kisasa duniani.

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *