Ad imageAd image

Mkuu wa Mkoa wa Mara akemea Ukatili na mauaji ya kiholela mkoani humo.

Togoro Media
0 Min Read

Katika kusherehekea siku ya wafanyakazi, Mei Mosi mkoni Mara, Mkuu wa Mkoa huo Mhe, Kanali Alfred Mtambi amekemea vitendo vya ukatili na mauaji ya kiholela mkoani humo.

Katika hotuba yake pia amewaomba walimu, viongozi na wasanii wote mkoani humo kutumia nafasi zao katika jamii kutoa elimu kuhusu utokomezaji wa mauaji mkoni Mara.

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *