Ad imageAd image

Dj. D Ommy aondoka Clouds Media Group.

Togoro Media
0 Min Read

Aliekuwa Dj maarufu kutoka Clouds Fm na Clouds TV, Dj. D Ommy ameondoka Clouds Media Group rasmi leo.

D Ommy ameondoka muda mfupi baada ya kutangazwa kujiunga na team mpya ya Jahazi ambapo wengine waliotangazwa Jahazini ni B Dozen na Adam Mchomvu.

Mkuu wa maudhui wa Clouds Media, Bwana Sebastian Maganga amethibitisha taarifa hizo na kusema kuwa pande zote mbili zimekubaliana kufikia maamuzi hayo.

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *