Ad imageAd image

Mlipuko wa Gesi Nairobi watu watatu wafariki.

Togoro Media
0 Min Read

Mlipuko mkubwa wa gesi katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, umesababisha vifo vya watu watatu na kuwajeruhi wengine 300.

Lori lililokuwa limebeba mitungi ya gesi lililipuka katika wilaya ya Embakasi majira ya saa 23:30 (20:30 GMT), na kuwasha moto mkubwa.

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *