Ad imageAd image

Mtoto ajinyonga kisa ugomvi wa wazazi.

Togoro Media
0 Min Read

Mtoto Rafia Adamu mwenye umri wa miaka 8 anayesoma darasa la pili mkazi wa Kata ya Maisaka, wilayani Babati mkoani Manyara, amejinyonga majira ya saa Saba mchana baada ya kuona wazazi wake wana ugomvi hadi kupelekea mama yake kuondoka nyumbani siku nne zilizopita.

Marehemu Rafia amejinyonga kwa kutumia mkanda wa mama yake kwenye mti wa mstafeli uliyopo mbele ya nyumba yao.

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *