Ad imageAd image

Crown Media yamrudisha Dullah Planet kwenye Mic.

Togoro Media
0 Min Read

Leo Crown Media inayomilikiwa na msanii wa Bongo Flava, Ali kiba, imefanya utambulisho wa wafanyakazi wake wakiwemo waandishi wa habari na watangazaji.

Mmoja kati ya watu waliotambulishwa rasmi ni aliyewahi kuwa mtangazaji wa kipindi cha Planet Bongo kilichokuwa kinaruka kupitia East africa Radio na EATV, Dullah Planet.

Endelea kutufuatilia kwa habari zaidi.

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *