Ad imageAd image

P Diddy aendelea kusakwa na Polisi hadi Visiwani.

Togoro Media
1 Min Read

Ndege binafsi ya P Diddy, imefuatiliwa hadi visiwa vya Antigua huku polisi wakivamia makazi yake ya Los Angeles na Miami, na wanawe Justin na King wakikamatwa.

Ndege ya Gulfstream 5 ilifanya safari kadhaa ndani ya California kabla ya kuelekea huko Antigua ingawa haijulikani kama P Diddy
mwenyewe alikuwepo ndani ya ndege hiyo.

Taarifa rasmi kutoka kwa wawakilishi wa P Diddy ama timu ya wanasheria wake bado haijatolewa juu ya sakata hilo na hata P Diddy mwenyewe mpaka sasa hajulikani alipo na msako wa ‘nyani’ unaendelea.

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *